Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,369
- 176,202
Mbona tunapishana sasa![]()
Usikae kimya mdogo wangu.Wacha nikae kimya
Weeeeh!! Na upole huu msinisingizie jamaniungejua hilo neno siku hizi limekuwa maarufu humu na watu wanajua kabisa mwanzilishi ni Atoto na kuna wanaume linawachoooma balaaaa
Wewe utakuwa wa kwanza kwenye list ya wanawake wenye majibu ya kushushua humu



Nakufuata wewe, nikukute ubungo.Wewe unaelekea wapi eti??
Njoo kwetu mepika ugali na mlenda 🚶Mepita dear
Naelekea Arusha
Tangu lini ukawa msahaulifu eti
Aiseee
Uchafu tena hahaha!!
Niwe na wadada warembo wawili![]()
Yaani kaamua kunikwepa kabisaa!!Wewe unaelekea wapi eti??
Ungeniambia ningeghairi
Nitaambia nini watu hakii
Sio rahisi, na uzee huu huyo mmoja ananishinda, wawili nawawezea wapi..
Sawa kaka!Usikae kimya mdogo wangu.