Espy_
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 91,730
- 182,785
Yaani[emoji24][emoji24][emoji24]Usiniambie haupo jamani auntie
Yaani[emoji24][emoji24][emoji24]Usiniambie haupo jamani auntie
We mie wa kwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji85][emoji85][emoji85]
Cc mafurushi.
[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
Mbona tunapishana sasa[emoji134][emoji134][emoji134]
Usikae kimya mdogo wangu.Wacha nikae kimya
Weeeeh!! Na upole huu msinisingizie jamani[emoji134][emoji134][emoji134][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ungejua hilo neno siku hizi limekuwa maarufu humu na watu wanajua kabisa mwanzilishi ni Atoto na kuna wanaume linawachoooma balaaaa
Wewe utakuwa wa kwanza kwenye list ya wanawake wenye majibu ya kushushua humu
Nakufuata wewe, nikukute ubungo.Wewe unaelekea wapi eti??
Njoo kwetu mepika ugali na mlenda 🚶Mepita dear
Naelekea Arusha
Tangu lini ukawa msahaulifu eti
Aiseee
Uchafu tena hahaha!!
[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]Yaani[emoji24][emoji24][emoji24]
Niwe na wadada warembo wawili[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Yaani kaamua kunikwepa kabisaa!!Wewe unaelekea wapi eti??
Ungeniambia ningeghairi[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Nitaambia nini watu hakii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tangu leo na hata milele dada
Sio rahisi, na uzee huu huyo mmoja ananishinda, wawili nawawezea wapi..
Sawa kaka!Usikae kimya mdogo wangu.