Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
EeehhhYako unataka iweje?? Yaani wanaume wawili na mwanamke mmoja au wanawake wawili na mwanaume mmoja??
EeehhhYako unataka iweje?? Yaani wanaume wawili na mwanamke mmoja au wanawake wawili na mwanaume mmoja??
Hahahahahahatangawizi ina afadhali dada
Wewe mwenyewe umefunga pm mdogo wangu mzuri mzuri!!Hii comment imenikatisha tamaa mie![]()
Subira yavuta heri mdogo wangu
Kweli hii mtu chake.
We mie wa kwanzaNa kweli nimegundua wewe siyo muandika magazeti kabisa yaani sijawahi kufuma gazeti lako humu hata kwa bahati mbaya,, mtu akibishana na wewe anajichosha tu maana hauchelewi kumjibu "sawa mkuu"..
Na ndiyo maana kwenye lile shindano la Hazard nilikuambia wewe utashinda nafasi ya kwanza kati ya wanawake wenye kauli nzuri humu JF maana una majibu fulani amazing,, nikikuwa mkubwa nataka kuwa kama wewe..










Duh! Pole sana aisèe! Umemisika sanaaIle thread ya demis kuonekana pich yake bwana ilisababishia
Wewe umeenda wapi sasa jamani, nikajua nikitoka huku nakukujia jamaniiiMbona tunapishana sasa![]()
Wewe huyooWe mie wa kwanza
Cc mafurushi.
![]()
Tangu lini ukawa msahaulifu etiniache na mbavu zangu
Uchafu tena hahaha!!Haha huo uchafu haujawahi nibariki kaka
Niwe na wadada warembo wawiliYako unataka iweje?? Yaani wanaume wawili na mwanamke mmoja au wanawake wawili na mwanaume mmoja??



AiseeeNiwe na wadada warembo wawili![]()
Hii ni fantasy tu mdogo wangu...Aiseee