Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?

Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?

Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.

Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?

Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol
Haya makoti yanakukata hamu ya mizagamuo?

Mjukuu bana dah! Si kwa povu hili wallahi
 
C6A19B0E-E6C7-401E-80D5-A6EDD8F5D828.jpeg

Kwa kweli kitambo sijaweka yangu❤️
Hello wapendwa wa kusefikaaa😌
 
Back
Top Bottom