Lips💋💋💋
Lips💋💋💋
Haya makoti yanakukata hamu ya mizagamuo?Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?
Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?
Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.
Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?![]()
Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol



Junia Aache ubabaishaji !!
ana wenge sanaNgoja nitupie hii ya koti langu la interview na mieacha bas nawee.
Haya makoti yanakukata hamu ya mizagamuo?
Mjukuu bana dah! Si kwa povu hili wallahi![]()






kwanza nyege zinayeyuka yeyuuuuu. nipo katibu karibu sana!!..kikao kilishaanza ila sio live . Bora umekuja katibu uanze kujilipua sasa!!!Nilikimbia na ndugu mwenyekiti je karudi??
Interview ya nyokoooooooh.Ngoja nitupie hii ya koti langu la interview na mie






au ya kidimbwi eh,?Interview ya nyokoooooooh.![]()
Unatuachaje achaje sasa!!! 🤔🤔Jomoneeeeeeeh guizzzzz mlale unono.
Wacha nipumzishe fuvu langu Now, kesho nayo ni siku.
byeeeeezzzzzz
Unajua alivaa hilo koti katika muktadha gani? Labda alikuwa anakwenda/anatoka ofisini au kwenye mishe za pesa.kwanza nyege zinayeyuka yeyuuuuu.
Yaan kaniboa huyu jamaaa, khaaaaaah.


Nyani mzee mie!Kweli hauzeeki
Umejiunga jf mm nikiwa andaeitini
kwanza nyege zinayeyuka yeyuuuuu.
Yaan kaniboa huyu jamaaa, khaaaaaah.
Nshaweka ya kuagia mbna. Si ile V shape.Unatuachaje achaje sasa!!!![]()





Jamani Jamani!Nshaweka ya kuagia mbna. Si ile V shape.![]()
Wee ndo huyu eeeeh?Dah nikajua umepotezea






Ndyoooooh.Jamani Jamani!