Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Kweli hauzeeki





Ngoja Junia aconfirmacha janja janja tupia selfii anne
Wee mpumbavu nn, eti "koti la urithi nilipewa" aibu huoni?koti la urithi nilipewa





Wale jamaa wa intellegence wa uzi wa "dark days 17/03/20"Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?
Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?
Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.
Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?
Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol
Ameniboa huyu jamaa bas tyuuhCoca utaniua![]()
Tukomesheeeee mamaaaah.







Wale jamaa wa intellegence wa uzi wa "dark days 17/03/20"
wakiingia kwenye anga zako hizi za kujidai sijui watakutana na kitu gani kizito.







acha bas nawee.🤣😂😂😂😂😂😂!! Upambe muachie anne shos 😉Tukomesheeeee mamaaaah.
Tumekosa sisi, tumekosa sisi, tumekosa sanaaa.
Ngoja Junia aconfirm
Nilikimbia na ndugu mwenyekiti je karudi??Hustler one mida yako bado?? Siondoki hadi nikuone.
Aisee nimekumbuka nishafika mbalinikaona isiwe tabu kwanza sidaiwi
![]()





ila wee shangazi bhanaaah.Nitakuita best usiwazeeThanks vocha Lin mm sijawahi pata ujue