Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika yangu.
Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?

Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?

Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.

Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?

Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol
 
Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?

Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?

Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.

Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?

Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol

koti la urithi nilipewa
 
Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?

Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?

Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.

Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?

Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol
Coca utaniua
 
Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?

Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?

Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.

Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?

Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol
coca
 
Wee kijana huna mavazi? Au umeishiwa?
Mkaka handsome anavaa manguo ya wakubwa, mbaya zaidi ya kizee, hilo koti ulipewa urithi na babu yako?

Na ukapiga picha? Real? Yaan nikiona mkaka ana pigo za kiwaki nahemkwa na kukasirika, mnakwama wapi yaan?

Ukiweka picha tena hapa, weka ukiwa casual, hayo masuti yako waachie wazee huko msieeeeew.

Yaan kabisaaa uko huru unapuyanga mtaani hivyo?

Ukapiga na picha juu, jomoneeee mie sitaki khaaaaaah. Lol
 
Back
Top Bottom