cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Aseeeeeh mie sijaona jomoneeeeh khaaaah.Mama gushepuuuu![]()
Aseeeeeh mie sijaona jomoneeeeh khaaaah.Mama gushepuuuu![]()
Nimeamini walivyosema wahenga na waenguzi,, mwenye kisu kikali atakula machungwa mengikulaaa haswaaaaaa wakati ni wako mkuuu itumie ipasavyooo!!


Nilitaka nikuwekee mmoja tatizo vanga langu hili usije ukanipa za uso mkuu.suruali haifanan na sura plus umbo.
Khaaaah.
Kama kuna maparchichi mtanichukulia 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wapi huko na sie tuje matikiti yapo maana ndo ugonjwa wangu![]()
Shouzzzzzz hebu nionesheee puliiiiiiiizzzzzzAsante pilot
Nimeanza kuona mabadiliko toka nibadili hii avatar, nitawapeni mrejesho.Kama sijakosea hata hii alishawahi itumia.
Anapenda za aina hii nikajua ni yeye.
Poa tunakusubiri iyo tomorrowLabda kesho mama sina hata jipya na nlivyo mvivu wa picha sasa.

Ahsante sana,, siri ya mafanikio, ukipita kwenye nyumba ina mchungwa,, nenda kaombe maji utanishukuru baadaeHongeraa![]()

Bado wewe!! Upepo wa kisulisuli haujawshi kumuacha Mtu salama 😂🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣!!!🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣aki nakuwa kichaaa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lol !!! hata mimi nayaonaNimeanza kuona mabadiliko toka nibadili hii avatar, nitawapeni mrejesho.



Ipi umeipendaNa mimi sijui niweke avatar yake
Tuanze kutrend
Kuwachanganya watu wa jf ni suala dogo sana kumbe![]()
KumbeAhsante sana,, siri ya mafanikio, ukipita kwenye nyumba ina mchungwa,, nenda kaombe maji utanishukuru baadae![]()


Mie…Hee
Siyo wewe huyo?