cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,102
- 181,132
Nimechekani comments zina ndevu au niaje
legeza kidogo commentsHoyeeeeeeeeeh.Aaah sana ,Avatar oyeeee![]()
Nooo!! mambo ya emergence landing hapana unanikubusha mbali sana, nipo na pisi PM tunayajenga.tuendelee na Emergency landing
Hoyeeeeeeeeeh.
ngoja nifute kabla wale wazee wa kuhifadhi hawajapitaBado weweeNdyoooooh.![]()
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 weee kumbe!!! Hahahaaaa Pole mkuu maisha lazima yaendelee!!!Humu siwezi,, nshaapa siwezi sirudii tena,, nlipigwa tukio moja hlo![]()
Mie mbna tayari.Bado wewee
Sasa hv mie ni mpenzi mtazamajiweee kumbe!!! Hahahaaaa Pole mkuu maisha lazima yaendelee!!!
🙇🏻♀️🙇🏻♀️ nasubir mrejesho ili name nibadili avatar 😊😊😊Nimeanza kuona mabadiliko toka nibadili hii avatar, nitawapeni mrejesho.
uko mzuri mamy! Natural kabisa!
dear
Kazi kweli kweliNimechekalegeza kidogo comments
Shida binadamu ni wabishi sana. Hata wakija kupewa mwongozo si ajabu watabishatatizo mna damu za kunguni mkuu ombeni mpewe mwongozo muenjoy mema ya jf![]()
!!



Natanua mapafu shos maisha ndio hayahaya !!! Tucheke tupunguze mikunjo ya sura!! 😂😂😂😂🤣🤣🤣!! unajuaafu si nimekukataza wee?
Mambo yao tuwaachie wenyewe msukuma !! Sie tuendelee kuselfika tu !!Shida binadamu ni wabishi sana. Hata wakija kupewa mwongozo si ajabu watabisha
Melo na Mushi sijui walifikiria nini kuanzisha JF View attachment 2229828