Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Nooo!! mambo ya emergence landing hapana unanikubusha mbali sana, nipo na pisi PM tunayajenga.

Nooo!! mambo ya emergence landing hapana unanikubusha mbali sana, nipo na pisi PM tunayajenga.

Jmn kwahiyo nimepitwaMie mbna tayari.
sina kisu kikali cha kumiliki pisi za jfHebuuuu niwekeee bhanaa, huenda ukawa babeee angu.![]()
Ahsante kwa taarifa...Shida binadamu ni wabishi sana. Hata wakija kupewa mwongozo si ajabu watabisha
Melo na Mushi sijui walifikiria nini kuanzisha JF View attachment 2229828
Kabisaaaaaa..... Hongera kwa hilo mkuuSasa hv mie ni mpenzi mtazamaji
sina kisu kikali cha kumiliki pisi za jf
Mi msela Kazi yangu kuuza roho usiku.





acha u phaller, changamka wee.Natanua mapafu shos maisha ndio hayahaya !!! Tucheke tupunguze mikunjo ya sura!!!! unajua
Kitu kinachonichekesha?????
Au basi!!





hebu niambie bhanaaaa, sikubali hata.nasubir mrejesho ili name nibadili avatar
![]()

😂😂🤣🤣🤣🤣😜 !!!hebu niambie bhanaaaa, sikubali hata.
Pisi ya Kimataifa kutoka Namtumbo. Ni mizagamuo tu mwanzo mwisho



Shos tumbo ni kuvimbiwa ama pozi tu😉😉🤔😂
Pouzzzzz bhanaaa wee, Tumbo nilitoe wapi mie?Shos tumbo ni kuvimbiwa ama pozi tu![]()




tatizo binadamu wa sikuhizi Ni wabishi sanaacha u phaller, changamka wee.
Pisi ya Kimataifa kutoka Namtumbo. Ni mizagamuo tu mwanzo mwisho![]()






wee tenaaaaa?halafu umeanza kunenepa shos mambo Sio mabaya!!😘😜