Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,970
- 177,190
hahahaha...... sio Leo afu wee mwanaume ujue unagombaniaje vocha mkuu!!Unatuliaaaa niniiii madam wangu shangazi mkubwa mwenyeweeee 🐥🐥🐥🐥
hahahaha...... sio Leo afu wee mwanaume ujue unagombaniaje vocha mkuu!!Unatuliaaaa niniiii madam wangu shangazi mkubwa mwenyeweeee 🐥🐥🐥🐥
Oi unapajua moro?Loc? Yaan eneo gan? Sio mkundi kweli?
Madamuu nitake ladhi madamu 🥹🥹🥹🥹 mbona wanivua kitaulo mchana kweupeee tenaaa jomoniiiiiiihahahaha...... sio Leo afu wee mwanaume ujue unagombaniaje vocha mkuu!!
mtu anipeee naitisha mkutanooo hapa mkubwa nachinja na bunzi sema mie sio playboy nitahakilisha yupo samala hata kama nitamtangaza kuwa nime mkula 😅😅😅Hahaha noma sana
NdioHawana maneno mengi kabisa!!
Yani chuchungeless!![]()

Tupo pamoja 😎, tangu nimepata vocha humu hakika najikuta tu staki kucheza mbali na hapa. Najikuta navutwa kwa upako wa vocha 🤣Ngoja nitulie kwanza
Nakuaminia baba pastaa , huna mambo hayomtu anipeee naitisha mkutanooo hapa mkubwa nachinja na bunzi sema mie sio playboy nitahakilisha yupo samala hata kama nitamtangaza kuwa nime mkula![]()
ila bwanaaa weee kuna pisi ya jf nilikula mwaka 2009 hiiiii hiiiii ( in MCbonike voice ) hiiii hiii we acha tu au basiNdio
Wanazagamua hii pisi
Kichomi yetu
Hapa selfika![]()
Mie nimetoa mfano tu mpambe🤣🤣🤣😂!Ndio
Wanazagamua hii pisi
Kichomi yetu
Hapa selfika![]()
Umekaa maeneo gani,, home ilikuwa kwa chambo miti mirefusanaaa yaan.
Yeaaaah zangu zote za halotel na voda weka kuleee.Hahahaha.. usiwaze shos!



Na weweSasa nyie akina chuchunge mnashinda kupiga domo na sisi
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app


😅😅😅 Sie watu wazima hatuna hayo mambo , hayo mambo ya watoto au sio uncle.. alafu watu hawaju mie ndio nina wapenzi wengi sana humu sema nakaa kimya kimyaaa naweza kabisa anzisha darasa na wakatosha sema sipendi show off na wenyewe wapo matured 😅😅😅😅Nakuaminia baba pastaa , huna mambo hayo
Jiandaeniii.... speed yako ya kukariri namba!Tupo pamoja 😎, tangu nimepata vocha humu hakika najikuta tu staki kucheza mbali na hapa. Najikuta navutwa kwa upako wa vocha 🤣
Mungu awabiriki wote mnaotoa kwa moyo wa kupenda 😍😘
Hakuna ccKwani lazima ajitangaze humu kuwa anamkula cocastic?
"Wana selfika eeeh, mie ndo ninae mkula cocastic"
Km tunazagamuana nje ya hapa, bas yanabaki kuwa huko huko nje ya hapa.
Relaaaaaaaaaaax.

Nasubiri hapa kama eangle zilushwe niruke nazo shwaaaYeaaaah zangu zote za halotel na voda weka kuleee.
Nitambeee nna shouzzzz angu mjini.
Kwani na wapenzi au masulia hapa kwamba nikipotea watakosa matumiziwewe najua pa kukupata shida iko wapi

