Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
😅😅😅 Leo nimehamukia Cigar la cuba sijui lina nini kichwa kipo high sanaaa joyce mawowow una mkumbukaKweli umevurugwa
Namuona joycewamoro![]()
😅😅😅 Leo nimehamukia Cigar la cuba sijui lina nini kichwa kipo high sanaaa joyce mawowow una mkumbukaKweli umevurugwa
Namuona joycewamoro![]()
acha nianza na mie kuwa si like wala si comment nasoma na ku download picha tu 😅😅Hawana maneno mengi kabisa!!
Yani chuchungeless!🤗😂
Sasa nyie akina chuchunge mnashinda kupiga domo na sisiDuh
Hao wasio like
Wala ku coment![]()

Kwani lazima ajitangaze humu kuwa anamkula cocastic?Duh
Hao wasio like
Wala ku coment![]()




Ukifanya hivyo unapotea mazimaacha nianza na mie kuwa si like wala si comment nasoma na ku download picha tu![]()

Saa ngapi??
Nisicheze mbali
Wale madogo nikiwatupia wanaingiza kama upepo
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app









😅😅😅 Mama pastaa hawezi hoji ananiaminia jembe lake hatari ma video call ya suprise kama yoteee yaani mchizi wangu ile mbaya rafiki yangu sanaaa yanii anajua toto lake halina utopoloKama hukumuaga mama Pasta ukamdanganya upo kwingine; utajutraaa
Saa ngapi??
Nisicheze mbali
Wale madogo nikiwatupia wanaingiza kama upepo
Sent from my TECNO CG6 using JamiiForums mobile app
Kwani na wapenzi au masulia hapa kwamba nikipotea watakosa matumizi 😅😅😀😀😀 wewe najua pa kukupata shida iko wapi
Mmmmmh wee wapi sasa? Au road ipi kuu. Dar, Dom, Iringa?Hapana. Mbali sana huko.
Kaka kwema?Nakumbuka zamani za kale, nilikuwa naomba Mungu sitaki mwanamke mpole , nataka meanamke wa kumbadirisha tabia ( bangi hizi ) one day nikaingia casino moja nikavutiwa na mdada mmoja khaaa alikuwa kama kaumbwa nikasema laulaaa Mungu kajibia maombi kitu si ndio hiki.. ile ki gentleman nikamfata mtoto 😅😅😅 nikawa kauli mbili ya kwanza bei gani akageuka akakata jichooo kali hilo 😅😅 nikavunga kama hajanisikia nikamuambia nataka tu company 😅😅😅 au basi .. But wanawake wote wazuri na wanaume wote wazuri ila hadi upate wa aina yako hakuna mtu mmbaya ila kuna walio zidi excellence
Hahahaha.. usiwaze shos!Mie yangu kuleee, hapa nitapitwa zoteee.![]()
Anza waweza opoa chombo hapaacha nianza na mie kuwa si like wala si comment nasoma na ku download picha tu![]()

Onesheni ndio utathibitisha kuwa nawaonea....mbona yule mwengine anatuoneshagaunatuonea
😅😅😅 vyombo vya humu vinawenyeweee kina mtu chake wa moja hapati mbili na kakitokea kamoja kunipa natangaza kwenye uzi wa kimasiahara na bango juu kama zamaradi maaja sijui kutunza siri mieAnza waweza opoa chombo hapa
Mwaka kabla hujaisha tucheze harusi![]()
Kwema Mkuu habari ya majukumu ?Kaka kwema?
Unatuliaaaa niniiii madam wangu shangazi mkubwa mwenyeweeee 🐥🐥🐥🐥Ngoja nitulie kwanza