Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

mbona mpaka waleo naandamwa mtoto wa watu mie hapo tu ndiooo siwaelewi banduguuuuu cocastic naomba mwongozo labda nitaelewa kilaza mimi!!
Zama zangu zilishapita kitambo sana ilaa sasa Sijui niliwafanya nini mimi jamani!!
Halafu sitaki maneno mie ngoja niwaache!
wee nae hujaelewa tyuuh? Aaaaah acha hizo. Ndo maana pale mwanzoni niliku cancel.

Wee tuendelee ku selfika, haya mengine ni mbwe mbwe tyuuh.
 
😂😂🤣🤣🤣🤣🤔😂😂🤣🤣😂😂🤔🤔🤔 mbona mpaka waleo naandamwa mtoto wa watu mie hapo tu ndiooo siwaelewi banduguuuuu cocastic naomba mwongozo labda nitaelewa kilaza mimi!!
Zama zangu zilishapita kitambo sana ilaa sasa Sijui niliwafanya nini mimi jamani!! 🙆🙆🙆🙆🤔
Halafu sitaki maneno mie ngoja niwaache!🚶🚶🚶🚶🚶
😅😅😅 acha ninunue hii case .. uzuri sina mpenzi JF sijawai kuwa na mpenzi kwaiyo watakutana na kitu kizitoo hadi kuipata point ya weakness yangu watakesha
 
🍦
02BB5113-548F-42C4-A6A9-410F063875CF.jpeg
 
Back
Top Bottom