Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
hahahahahaKwanza mwanaume anae kuacha wewe au alie kuwacha ni kuwapimwa mkojo mavi maana tunajua tu kichwani sio mzima so haina haja ya kupima akili 😅😅😅😅
Ooh okayMoja nimebadilisha imebaki moja.
Sasa huyo Lect ndo anilime mie?Unastahili sup mdogo wetu





Ngoja tulia wewe.Sasa huyo Lect ndo anilime mie?
Huko ubavu anao? Pepa langu kwake ni Ukonga.

Niliona shostito mwingine aiseee
Rship imepita kama upepo maskini
Hata hatujakaa sawa kushangaa kufumba na kufumbua mara haipo.










Angalau sasa napata fleva tofauti.Ooh okay

Ngoja tulia wewe.
Tena ntamwambia anipe pepa lako nisahishe
Nakulima sifuri![]()






Baba pasta nipumzishe kidogo jamani utaitoa roho ujue!!!😂😂🤣🤣🤣Kwanza mwanaume anae kuacha wewe au alie kuwacha ni kuwapimwa mkojo mavi maana tunajua tu kichwani sio mzima so haina haja ya kupima akili 😅😅😅😅
Mtu chake Leo zamu yako kuselfika.hahahahaha
Dunia inakimbia hii jamani
Akiyanani,,,shostee uliona wewe?
Bora hata mtukufu boss wetu alitrend kabla jini mkata kamba hajapita.








shostieeee nakuambia yatakushinda, Kidogooo tuu 😅😅🫣poleeeeeeh mie nlishaamka na mtu mwingine.
Tecno hoyeeAngalau sasa napata fleva tofauti.
Tekno ina raha yake
Nilikuwa nimekomaa na misamsung yote
Au Anatafuta dataaaa hhahahaaa!!!!!
Nani kakuvuruga baba pasta lakini 🤔🤔🤔????Kidogooo tuu 😅😅🫣
😬😬😬😬 acha nikamtoe roho kwanzaNani kakuvuruga baba pasta lakini 🤔🤔🤔????
😂😂🤣🤣🤣🤣🤔😂😂🤣🤣😂😂🤔🤔🤔 mbona mpaka waleo naandamwa mtoto wa watu mie hapo tu ndiooo siwaelewi banduguuuuu cocastic naomba mwongozo labda nitaelewa kilaza mimi!!Dunia inakimbia hii jamani
Akiyanani,,,shostee uliona wewe?
Bora hata mtukufu boss wetu alitrend kabla jini mkata kamba hajapita.