Eti ajiegeshe
Mbinguni huendi
Ila nimekaa nikajaribu kuwaza sababu Kwa upande mwingine.
Nadhani hata watu tulionao walitoka sehemu nyingine
Kutoka kwao sehemu nyingine na kuja kwetu haitufanyi tusiwapokee..
Najaribu tu kuwaza upande wa pili
Sent from my TECNO CG6 using
JamiiForums mobile app