Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Hata mchana matapeli wapo chini hapo ya daraja..ukitoka stand ya daladala.
Wanadanganya watu mchana kweupe kwamba kama wanaenda stand ya magufuli basi wapite njia ya pembeni ni shortcut,wanaonyesha njia nyingine insenda kwenye kiporo fulani na si hapo darajani..huko wanaibia watu.
Huwa nawaza sijui ni watu wangapi wageni wameibiwa maskini.
Ooh so sad
Hadi mchana pia







