Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
Hapa tunapiga stori tu, wanaume hamfanani tunajua kuna wanaotupenda hivi hivi tulivyo hata kama idadi yao ndogo lakini wapo.Nani kakwambia? Acheni hizo
Hapa tunapiga stori tu, wanaume hamfanani tunajua kuna wanaotupenda hivi hivi tulivyo hata kama idadi yao ndogo lakini wapo.Nani kakwambia? Acheni hizo
Shangazi furahi tu mzabzb kanambia sinatako ndo maana hatuelewani![]()







yaan nyie khaaahExactly, niongezeeNi sawa lkn yote huja baada ya kupendana napesa zinatafutwa na plans zinawekwa hapo tayari tushatenganisha maanayake mapenz yalitangulia hapo so sijui labda mm naelewa vibaya
Hii mada ni kasheshe ndo mana hata uliponiquote pale juu nimeshindwa nikujibu nini.sisi wanaume tunapenda kuheshimiwa kuliko kupendwa, pesa ni kweli inatafutwa lakini pia man value is measured in what he can do and provide, kwa hio kama pesa sina Sophy kuna muda hutonipa heshima ninayostahili kwa sababu uanaume ni utafutaji na kuhudumia familia na majukumu mengine sio kumkojoza tu mwanamke.
But upo sahihi, lakini dah, hii mada ni ngumu kweli 🙂
Upo sahihi.Hii mada ni kasheshe ndo mana hata uliponiquote pale juu nimeshindwa nikujibu nini.
Issue ya pesa upo sahihi ni nadra sana kukuta mwanaume hana pesa na akapewa heshima yake inavyostahili ila maana yangu mwanzon ilikua mfano kama mimi naweza kukupenda wewe bila hata kuangalia una kitu gani pesa ikaja badae. Kama mtu anaangalia kwanza una kitu gani ndio akupende sasa huo sio upendo ni maonesho tu.
Siyo kweli. IQ haitegemei tako la mtu bana tusilishane matango pori !!!Wanawake wenye tako wanakuwa na iq kubwa
OkMia.
Guys muwe na usiku mwema, nawapenda.
Exactly, niongezee
sisi wanaume tunapenda kuheshimiwa kuliko kupendwa, pesa ni kweli inatafutwa lakini pia man value is measured in what he can do and provide, kwa hio kama pesa sina Sophy kuna muda hutonipa heshima ninayostahili kwa sababu uanaume ni utafutaji na kuhudumia familia na majukumu mengine sio kumkojoza tu mwanamke.
But upo sahihi, lakini dah, hii mada ni ngumu kweli 🙂



YesRafiki
Njema za kwakoYes
Za mida
Nzuri tu hapaNjema za kwako
Barikiwa mwanangu😁Nzuri tu hapa
AmenBarikiwa mwanangu![]()
AsanteeAmen
Uwe na usiku mwema