Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Ndio nipo hapoKinyerezei tena huko mbalii bwanaaa 🫠🫠![]()
Ndio nipo hapoKinyerezei tena huko mbalii bwanaaa 🫠🫠![]()
Makubwaaa
Mchumba unajua kupambaMakubwaaa
Una mguu kama wa Pogba, body ya Le captain Magwaya

Njoo unisaidie kula chapati basi ☺️☺️
Nimebeba dishi la karanga nauza
TunasubiriNgoja na mimi nitupie leo![]()
Leo nimekuja muda muafaka
Natafuta mtu wa IT anitolee emoj


Aje chap atoe emojNatafuta mtu wa IT anitolee emoj![]()

Mazoezi umeanza lini mchumba?
Huo ni mtori??
Week ya pili sasa...nimepumzika pombe kidogo naweka mwili sawaMazoezi umeanza lini mchumba?

acha basi maji ya maharage hayo 😅😅 shilingi 300 tu za kitanzaniHuo ni mtori??
acha basi maji ya maharage hayoshilingi 300 tu za kitanzani

Unaimarisha ini na figo.Week ya pili sasa...nimepumzika pombe kidogo naweka mwili sawa
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Hatari sana, nimekosa vingi, uje unipe ujuzi.😅😅😅 ni hatari mzee mambo hayakuwa ya sayari hiii.. sema sasa hivi sifati link mtu akiwa kafuta picha, kuna namba nafanya naziona.. kuna moja hapa ya madam shangazi mahondaw sijui kaiweka mchana nimekuja kuiona sasa hivi, ile kaombwa na mjeda aishushe chini kidogooo