Jack Palladino
JF-Expert Member
- Feb 24, 2018
- 7,245
- 22,552
Yeah nimepumzika kwanza najiweka fit mazoezi kwa sanaUnaimarisha ini na figo.
Wewe umepumzika pombe?

Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app
Yeah nimepumzika kwanza najiweka fit mazoezi kwa sanaUnaimarisha ini na figo.
Wewe umepumzika pombe?

Wacha weee
Kaa hapo hapo nakuja na IT wangu

Shoga umebana

Mara hii
Nawasubiri mkuje fastaKaa hapo hapo nakuja na IT wangu![]()

Polee Mtumishi 😁🤣
Stay tuned 🤔Tunasubiri
😅😅😅 nilihisi kupaaa.. nahisi kuna delay ya ku refresh ( au kuzifuta ) catche baada ya mtu kufuta picha.. nyingi nimekuona naziona hata baada ya mtu kuwa amefuta pichaHatari sana, nimekosa vingi, uje unipe ujuzi.
hapana ni tui la nazi na karanga karibu 😀😀😀
Hiyo kwenye kikombe ni kahawa?
Mbona sioni ninachoweza kula🤣hapana ni tui la nazi na karanga karibu 😀😀😀
Kesho mida kama hii tutakuwa pamojaaa 😅😅😅😅I 💙 this place!View attachment 2227064
Nimebana kimchongo😂Shoga umebanaMara hii
Hongera nywele pambe![]()
mezoea raha raha sanaaa 🫣🫥Mbona sioni ninachoweza kula🤣
Mchicha tu nasumbua nao🤣Wacha weee
Zile chocolate huko hazipo?mezoea raha raha sanaaa 🫣🫥
Ah wapi 🤣🤣🤣zimekua mwaya
Wacha wee!Yeah nimepumzika kwanza najiweka fit mazoezi kwa sana
Sent from my SM-M305F using JamiiForums mobile app