๐
๐
๐
Nikikumbuka ndio kabisaa sitaki kurudi naogopa najiogopaaa enzi zangu yaani ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ.. ama kweli Mungu yupo mie huyu mie huyu wa kupoa hivi kuwa kadagaaa ๐
๐
๐
Mungu anakupenda sana, anakuandaa kuwa kondoo wake mwema.
Usimuangushe pls kwa kurudi alikokutoa๐๐
Enjoyyy๐ต
Nalikuwa sijiwezi
Unyonge ulinielemea
Sikuwa na tumaini
La mbele kuendelea
Imani ilififia, sikuona kabisa
Kama moja ya nyenzo ilyotikisika
Nalikosa tabasamu usoni
Tegemeo sikuona maishani (maishani) Nikashindwa endelea mbele
Hali iliyofanya nikwame kule
Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru sana Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Nashukuru bwana
Uliona haiko shwari
Mimi kupotea njia
Sijui ni namna gani uliwaza ukanihurumia
Na nilifanania jangwa mvua kutonyeshea
Nami mche mbichi maji yalinikaukia
Shida mateso sina tena yamewekwa nyuma Mimi wa Yesu mwingine sina wa kunirudisha nyuma
Wakati wa kuokolewa umekubalika
Kwa haki na ushupavu wake ukatimizika Ulikonitoa ni mbali sana
Ni kweli umenikomboa nashukuru bwana Ulikonitoa ni mbali sana
Ukanikomboa na zile laana
Mbali sana
Mbali sana
Mbali sana
Kwenye mateso Kule
Mbali sana
Nalionelewa
Ukanisaidia
Mbali sana
Eeeh mbali eeeh