Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umetisha chief
Wewe ni balaaa
Na hii pia inaweza ikawa ni gear ya ku impress
Maana kama unaweza kuwakopa Mpesa kiasi hicho wanaamini unaweza kuwalipa kwa hiyo huu ni mtaji kaza buti pm zifunguke🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅 hapa na na mfuatano wa mikopo, M-Pawa nadaiwa, Songesha nadaiwa, Nipige Tough nasaiwa, NMB chap chap nadaiwaaa ... unafikiri kuna anae elewa hapo , nipo chini ya viwango 😅😅😅
 
Mama mchungaji inabidi uweke na maombi hapa vijana wafungue pm roho chafu iliyong'ang'ania hayo makufuri iyaachie yafungukee
Mama mchangaji Heaven Sent mwenyewe hata ukitaka ushauri wa kiroho, unakuta na mzinga wa lock unabaki
1F3CDFEE-C969-4027-B211-4B22D3213DBD.jpeg
 
Daaah 🤣🤣🤣

Muumini ukikuta nimefunga huko,ujue nimetingwa sana na huduma huku, sina muda wa kutosha kukuhudumia. Sasa mtu asije akatuma PM yake afu ikajibiwa after months, haitokuwa poa na wakati ukute anahitaji ushauri urgently juu ya mapito yake.🤣🤣🤣
Mama mchangaji Heaven Sent mwenyewe hata ukitaka ushauri wa kiroho, unakuta na mzinga wa lock unabaki View attachment 2225849
 
Daaah 🤣🤣🤣

Muumini ukikuta nimefunga huko,ujue nimetingwa sana na huduma huku, sina muda wa kutosha kukuhudumia. Sasa mtu asije akatuma PM yake afu ikajibiwa after months, haitokuwa poa na wakati ukute anahitaji ushauri urgently juu ya mapito yake.🤣🤣🤣
Haaa humu ni pazitoo sijui niwe kama nani vile nianze na mie kuonekana mtu 😅😅😅😅
 
Back
Top Bottom