Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Na kiinglishi pia🤣🤣🤣Kumbeeeee....
Wacha niwahi hukoooo🤣🤣🤣
Na kiinglishi pia🤣🤣🤣Kumbeeeee....
Wacha niwahi hukoooo🤣🤣🤣
Kule ukivamia wanakufukuza hawataki makelele kabisa!!🤣🤣😂😂😂Hamia intelligence forum afu usiwe na maneno mengi🤣🤣🤣
😅😅😅 mkuu bora we mwenzangu una akili za kukaa kule intelligence mie sina kwaiyo ni mkosa vyote tu hapa 🥲🥲Kumbeeeee....
Wacha niwahi hukoooo🤣🤣🤣
🤣😂😂😂🤣Kule ukivamia wanakufukuza hawataki makelele kabisa!!🤣🤣😂😂😂
Sasa na wengine backbencher tushazoea vurugu mda wote tunataka fujooo tuKule ukivamia wanakufukuza hawataki makelele kabisa!!🤣🤣😂😂😂
Si ndiyo maana nimesema asiwe na maneno mengi. Anagonga tu "indeed, exactly, impressive" etc 🤣🤣🤣🤣Kule ukivamia wanakufukuza hawataki makelele kabisa!!🤣🤣😂😂😂
Hahaha 🤣 ila mna vitukoSi ndiyo maana nimesema asiwe na maneno mengi. Anagonga tu "indeed, exactly, impressive" etc 🤣🤣🤣🤣
Mkuu nimekuonesha hali yangu nina deni nipige tough maana yake mie mwenye vocha zina nihenyesha usita take niongee mengi kwamba na mie ni mshabiki wako .. ukirushaga nalala nazo mbele zingine hasa za voda 🙈🙈🙈🙈Uwe kama Mjep tu
Shusha vocha shusha vocha mkuu
Kuna wenye uhitaji humu hata usipofunguliwa pm utapata malipo yako kwa Mungu
Ufungue PM sasa. Vijana wamesema wanasifia tu dimples afu Pm umewagomea kabisa wakusalimie 🤣🤣🤣🤣
Yoyote tu maana nina bahati mbaya nawe na MahondwaIpi hiyo tena?
Ufungue PM sasa. Vijana wamesema wanasifia tu dimples afu Pm umewagomea kabisa wakusalimie 🤣🤣🤣🤣
Tafuta vizuri huko juu utazikuta.Yoyote tu maana nina bahati mbaya nawe na Mahondwa
Ndio nimeisha kwama na huko, ubongo maji toka lini wakawa na utulivu... yaaani wao ni kelele mda woote 🐥🐥🐥Si ndiyo maana nimesema asiwe na maneno mengi. Anagonga tu "indeed, exactly, impressive" etc 🤣🤣🤣🤣
Kuna salamu nyingine za binafsi sana, hazitakiwi kusomeka na wengine🤣🤣🤣Sasa HS kwani ukisalimia hapa haifiki? 😂
Big Boys hao .. wapo wanapita pita tuuu sasa comedian hapa kutwaaaa napayukaaaa 🐒🐒🐒Tafuta vizuri huko juu utazikuta.
Btw karibu sana, Mimi binafsi ndiyo nimekuona humu Leo, kumbe mwenyeji eeh?
Serious wako wengi wenye uhitaji japo wengine wanachukulia utani lkn naamini kuna wachache wanaopata za zinasaidia kuwakwamua kwenye changamoto flani flaniBora wewe unapata thawabu zako
WeeeeeeeehhhSi ndiyo maana nimesema asiwe na maneno mengi. Anagonga tu "indeed, exactly, impressive" etc 🤣🤣🤣🤣
juzi na cocastic kujifanya kukomenti mfululizo tu kwenye ule uzi wa yoga sasa komenti za coca 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ,,, 😂🤣🤣 jomonee tyu...tulitolewaje baruu eti nyie Acheni kucheka cheka hapa rudini MMU!!🙆🙆🤣🤣🤣🤣😂😂😂🤣
Waje jamani.. mbona pm ziko waziKuna salamu nyingine za binafsi sana, hazitakiwi kusomeka na wengine🤣🤣🤣
Nitajinoa huko huko, nikurusha vocha 2 nitapata wa kunifundisha tu 🤣🤣🤣🤣Na kiinglishi pia🤣🤣🤣
Sema kweli?Waje jamani.. mbona pm ziko wazi