Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😀😀😀 PM zenyewe zipo wazi basi sasaaa, yani wame select wa kuwasiliana nao, kila ukituma unakutana na huwezi tuma message kwa huyu ... unageuza kimya kimyaaa na ikifanikiwa kwenda utajibiwa baada ya miezi ila hapa unakuta ana ku like na ana quote ila PM hajibu 😅😅😅
Sio kwakuringa huko 😃
Basi fanyeni kuwa impress humu ili wao ndo waanze kuwatumia maPM.
 
PM zenyewe zipo wazi basi sasaaa, yani wame select wa kuwasiliana nao, kila ukituma unakutana na huwezi tuma message kwa huyu ... unageuza kimya kimyaaa na ikifanikiwa kwenda utajibiwa baada ya miezi ila hapa unakuta ana ku like na ana quote ila PM hajibu
Nyie mabinti msiwafanyie hivi vijana wangu. Kumbe wanawachekea tu humu, PM wanawachunia?
 
Ila sasa hata nyama hagusi🤣🤣🤣
😅😅😅😅 .. ma big boy malaji yanachekaaa huko yanatuona kama vingwendu comedian
3AA1A12C-6169-4238-8986-B51C7C125AF1.jpeg
 
Back
Top Bottom