Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Toa vocha mzee baba Lizzy kasema jaribu ku impress ukiona vocha jazifanyi kazi jaribu njia nyingine🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
😅😅😅😅 yaaani nipige tough nina deni, hizo vocha naanzia wapi kuziweka mkuu... vigezo zero bora wewe unejitutumua kidogo
A0A13029-A294-4061-B1D9-79C2914B6881.png
 
_King baadae asee
Nipo mkuu leta maneno
Nimekubali hiki kitengo nimepewa
Ila hizo vocha sasa hata njemba zinapata maana zinatolewa hapa sandakarawe
Sante sana nakupata Mjep wizara ya mawasiliano, vocha na bando, nimekuita kikao cha dharura tujadili, sasa hivi tutoe vocha moja tena ya 500, serikali haina pesa, wewe tunakuamini na tumekupa hio nafasi tukijua hutotuangusha na kwa kweli unapiga kazi kweri kweri.

sasa hilo ni pendekezo, nasubiri mawazo toka kwa wenzangu, ahsante sana, kwako _King
Bilateral-meeting-between-Mr.-K.V.-Kamath-the-NDB-President-and-Mr.-Cyril-Ramaphosa-the-President-of-South-Africa-26-July-2018-2.jpg
 
_King baadae asee

Sante sana nakupata Mjep wizara ya mawasiliano, vocha na bando, nimekuita kikao cha dharura tujadili, sasa hivi tutoe vocha moja tena ya 500, serikali haina pesa, wewe tunakuamini na tumekupa hio nafasi tukijua hutotuangusha na kwa kweli unapiga kazi kweri kweri.

sasa hilo ni pendekezo, nasubiri mawazo toka kwa wenzangu, ahsante sana, kwako _King
Bilateral-meeting-between-Mr.-K.V.-Kamath-the-NDB-President-and-Mr.-Cyril-Ramaphosa-the-President-of-South-Africa-26-July-2018-2.jpg
😅😅😅 Poa mkuu badae na mie acha nipumzishe kichwaa maana hapa ni pazitoo sana, Mjep anaweza fanya jambo likaleta mapinduzi
 
😅😅😅😅 yaaani nipige tough nina deni, hizo vocha naanzia wapi kuziweka mkuu... vigezo zero bora wewe unejitutumua kidogoView attachment 2225829
Umetisha chief
Wewe ni balaaa
Na hii pia inaweza ikawa ni gear ya ku impress
Maana kama unaweza kuwakopa Mpesa kiasi hicho wanaamini unaweza kuwalipa kwa hiyo huu ni mtaji kaza buti pm zifunguke🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom