Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ibada njema Mama Mchungaji
Screenshot_20220515-000208_Swahili%20Bible%20Offline.jpg
 
Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...

Halafu naomba nikiri aisee. Jana nilinunua Mayoneizi! . Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo

View attachment 2224977
mayonnaise huwa tamu bwanaaa 😅😅😅 hasa ukute chips zimekaukaaa vizurii unaweza maliza tu plate plate
 
Mimi na Wigelekelo tulikuwa tunazishambulia eti ni chakula cha wanaume wa Dar. Kelsea ndo akawa anazitetea....

Ila zinanoga hata kwenye hambaga bana
😅😅😅 Wanaume wa dar wana mitihani mingi ila hili la mayonnaise mlikuwa mna waonea na ule tamu wake kweli

ni kweli na kwenye hambaga, tena umechukua chupa mbili kwa msisitizo
 
Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...

Halafu naomba nikiri aisee. Jana nilinunua Mayoneizi! . Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo

View attachment 2224977
nakuja kula rafiki umebeba vitu vinono.

Sakata letu tutamalizana wenyewe Wige mkorofi atanisumbua.
 
Back
Top Bottom