Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

IMG_20220515_065503.jpg
 
Kwa hiyo huyo apo ndio wewe una makusudi sana. Nimekuja mbio eti nakutana na hicho kitu hapo, kesi yangu na wewe haitakaa ikaisha wee haya.
Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...

Halafu naomba nikiri aisee. Jana nilinunua Mayoneizi! . Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo

20220514_153146.jpg
 
Back
Top Bottom