Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 16,997
Miaka mingi, Baraka nyingi, Mungu atukuzwe katika wewe 🔥🔥SYB laivu bila chenga leo.
Miaka 76 and counting wapendwa...
Mungu ni mwema![]()
Miaka mingi, Baraka nyingi, Mungu atukuzwe katika wewe 🔥🔥SYB laivu bila chenga leo.
Miaka 76 and counting wapendwa...
Mungu ni mwema![]()
Tupia basi niamke kitandani 😎😎Tutagawana![]()
amna bwana hata ya zamani zamani tu inatosha 😎😎Nyieeee mtaniua sina zingine![]()
🙄🙄🙄 kumbe leo jumapili lol..
🙏🙏🙏🙏🙏
Be blessed🙏🙏🙏
Amen
Usisahau kuselfika mremboAmen
Uwe na siku njema pia
Nilikwambia mpaka Yesu arudi ndo bifu letu litaisha. Labda uniombe msamaha huku ukiwa umepiga magoti kama mabinti wa Kisukuma na Wigelekelo akiwa shahidi...Kwa hiyo huyo apo ndio weweuna makusudi sana. Nimekuja mbio eti nakutana na hicho kitu hapo, kesi yangu na wewe haitakaa ikaisha wee haya.


. Sasa wakati naweka kwenye gari ndo nikakukumbuka wewe na Wige. Nikaishia tu kujisemea sijui nitaambia nini watu ila ndo hivyo 





Muda mwingine rafikiUsisahau kuselfika mrembo
Amen


Khaaakumbe leo jumapili lol..
Ebu tuone.........Amen
Nilikuwa naandaa kile kigauni chetu nikawakumbuka.
Sijui atiii jiraniii alafu mbona nimepatwaaa na usinginzi upyaaa tena mzitooo kweli kweli 🥲🥲Khaaa
HallelujahAmen
Nilikuwa naandaa kile kigauni chetu nikawakumbuka.