Hustler one
JF-Expert Member
- Mar 17, 2022
- 507
- 1,339
Mbona yna 2 zimenipita rudia bana!!
Nakusubiria ujueKabisa ila nilikua nakutafutia zanyuma kabla kamera haijazingua naziona sasa 🤔🤔🤔🤔🤔!!!
Leo noma... Kikao kisitishwe kwanza!!😉Au unasema stakeholder???😂😂🤣🤣Ila Leo wazamiaji wengi!! Anzisha madam wengine tufuate
Naona iwe hivyo aisee!!Leo noma... Kikao kisitishwe kwanza!!😉Au unasema stakeholder???😂😂🤣🤣
Umekosa vitu vinonooNimeikosa hiiii
Duh....
Irudiweeeeeeee....

Kikao kimesitishwa rasmi!!Naona iwe hivyo aisee!!

Kabisa... hoja imeungwa mkono!Kwanza ndugu wajumbe hawajakamilika
Sizioni itakua nilizifuta make kamera inaniletea vipengele sana sikuhizi!!Nakusubiria ujue
Asante mh, mwenyekiti haya ndugu wajumbe tuliokuepo tutawanyike kwenye majukwaa mengine huko mpaka tutakapopeana taarifa rasmiKikao kimesitishwa rasmi!!![]()
🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣 !!!Asante mh, mwenyekiti haya ndugu wajumbe tuliokuepo tutawanyike kwenye majukwaa mengine huko mpaka tutakapopeana taarifa rasmi
Niandae harambee nini?Sizioni itakua nilizifuta make kamera inaniletea vipengele sana sikuhizi!!
Asante mh, mwenyekiti haya ndugu wajumbe tuliokuepo tutawanyike kwenye majukwaa mengine huko mpaka tutakapopeana taarifa rasmi
Hapana usiwasumbue ngoja nipambane nahali yangu 😂😂😂🤣🤣🤣🤣 mkuu!!Niandae harambee nini?
Haha nakuaminiaHapana usiwasumbue ngoja nipambane nahali yangu 😂😂😂🤣🤣🤣🤣 mkuu!!
Wakipinga wajumbe waliokuepo watakua wabishi labda uwatangazie na posho hakuna jamani, tuka angaze angaze kwenye majukwaa mengineWakipinga iwe plan B..
As usual... veri veri normal selfis!
binadamu walivo wabishi sasa !! Ngoja nikalale tu mkuu kesho nayo ni sikuWakipinga wajumbe waliokuepo watakua wabishi labda uwatangazie na posho hakuna jamani, tuka angaze angaze kwenye majukwaa mengine
Nakazia, kwako pia mkuubinadamu walivo wabishi sasa !! Ngoja nikalale tu mkuu kesho nayo ni siku
muwe na Usiku mwema wapendwa 😴😴😴😴😴😴😴!!
Bosslady unatuachaje??binadamu walivo wabishi sasa !! Ngoja nikalale tu mkuu kesho nayo ni siku
muwe na Usiku mwema wapendwa 😴😴😴😴😴😴😴!!
Kikao kishasitishwa rasmi mjumbe hukuwepo!! Kitaendelea lini sijajua Tutapewa taarifa na mwenyekiti !Bosslady unatuachaje??