Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,196
Wakuu sijui wapo wapi jamani !!!*104*777728364731838#
Tigo
Wakuu sijui wapo wapi jamani !!!*104*777728364731838#
Tigo
Ukweli mnaujua, inatuuma sana tena sana, sisi tunarusha pumba sanaaaaa hamna kitu kuku haingii mtegoni, ila vile vijamaa comments zao hazieleweki na vile vijamaa vipo kimya (watu wasiojulikana) ndio vinakula mizigo, sasa nasemaje kesho patachimbika humu.Umewaza nini lakini wee rubani!!😂😂😂🤭🤭!
😅😅😅 na huu ndio ukweli mkuu Post M-alone , sema nini kwa hii post wanaweza tufikiria hata PM zetu wataweza zijibu zijibuYaani wanaofaidi hizi pisi za selfika ni vishkaji flani huwezi vielewa, kwanza havi comment wala kuchangia chochote hata picha ila vipo vinafuatilia uzi kwa utaratibu sana na anashushia kinywaji.
Kuna vile vizee kwenye siasa kule ni moto wa kuotea mbali.
Sisi humu tunapiga kelele na kusifia pisi mpaka mishipa ya shingo inatutoka halafu hatuambulii chochote, _King tufanye maandamano ya amani hii sio fair kabisa.
Kuna vimtu ID inasoma mwaka 2009 halafu ana message kama 500 tu, sio poa,
Pisi zinaruka na jamaa hawaeleweki kabisa, kwanza comments zao tu unashindwa kumuelewa, lakini kule PM i bet humshindi maneno.
HahahhaUkweli mnaujua, inatuuma sana tena sana, sisi tunarusha pumba sanaaaaa hamna kitu kuku haingii mtegoni, ila vile vijamaa comments zao hazieleweki na vile vijamaa vipo kimya (watu wasiojulikana) ndio vinakula mizigo, sasa nasemaje kesho patachimbika humu.
We mwenyewe unajua ndio maana unacheka..

Hahahaaaa. Humu mie salute 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 ! kitambo sana!!!!!Ukweli mnaujua, inatuuma sana tena sana, sisi tunarusha pumba sanaaaaa hamna kitu kuku haingii mtegoni, ila vile vijamaa comments zao hazieleweki na vile vijamaa vipo kimya (watu wasiojulikana) ndio vinakula mizigo, sasa nasemaje kesho patachimbika humu.
We mwenyewe unajua ndio maana unacheka..
Mkuu acha tu, inauma sana.😅😅😅 na huu ndio ukweli mkuu Post M-alone , sema nini kwa hii post wanaweza tufikiria hata PM zetu wataweza zijibu zijibu
Sasa tufanyaje mkuu wangu Post M-alone haiwezekani mau mazuri tuishie kunusa harufu tuMkuu acha tu, inauma sana.
Hujajua tu pa kuwashika mkuu au labda huna nyota😉 🤣🤣🤣😂😂!!!Ukweli mnaujua, inatuuma sana tena sana, sisi tunarusha pumba sanaaaaa hamna kitu kuku haingii mtegoni, ila vile vijamaa comments zao hazieleweki na vile vijaja vipo kimya (watu wasiojulikana) ndio vinakula mizigo, sasa nasemaje kesho patachimbika humu.
We mwenyewe unajua ndio maana unacheka..
Kuna vimtu ID inasoma mwaka 2009 halafu ana message kama 500 tu, sio poa,
Pisi zinaruka na jamaa hawaeleweki kabisa, kwanza comments zao tu unashindwa kumuelewa, lakini kule PM i bet humshindi maneno.
Ukweli unaujua Tinsley .Hahahha![]()
Anachosema ni kweli lakini![]()
Imebidi nicheke 😆😆😆Yaani wanaofaidi hizi pisi za selfika ni vishkaji flani huwezi vielewa, kwanza havi comment wala kuchangia chochote hata picha ila vipo vinafuatilia uzi kwa utaratibu sana na anashushia kinywaji.
Kuna vile vizee kwenye siasa kule ni moto wa kuotea mbali.
Sisi humu tunapiga kelele na kusifia pisi mpaka mishipa ya shingo inatutoka halafu hatuambulii chochote, _King tufanye maandamano ya amani hii sio fair kabisa.
Kuna vimtu ID inasoma mwaka 2009 halafu ana message kama 500 tu, sio poa,
Pisi zinaruka na jamaa hawaeleweki kabisa, kwanza comments zao tu unashindwa kumuelewa, lakini kule PM i bet humshindi maneno.
🙇🏻♀️nasubir halotel 🙇🏻♀️*104*777728364731838#
Tigo
Mkuu anaonekana ana hasira hatare... sijui nani kampiga na Kitu kizito!!😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣nmecheka loooh!
Plan ninazo mbili tutajadili mkuu, hakuna kitu kitashindikana, yaani sie tunapiga kelele mpaka pisi zinafunguka zinatuma vitu adimu, halafu vijamaa vinamalizia.Sasa tufanyaje mkuu wangu Post M-alone haiwezekani mau mazuri tuishie kunusa harufu tu