cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,101
- 181,172
Ni ualimu tyuuh, na hapo ajira hakuna,Zamani watu walikuwa wanasoma hii (pamoja na HGK na KLF) wakitoboa first class kali ya point 3-5 wanakwenda Mlimani kusoma sheria. Sasa hivi hawa wanaishia kufanya kazi gani mbali na ualimu, polisi na pengine jeshini wakibahatisha?







!

