Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,249
Ile inavunja hadi kochi kama haliko imaraUmeshashindikana
Ulisikia wapi
Kuna shepu za kuvunja tendegu![]()
Ile inavunja hadi kochi kama haliko imaraUmeshashindikana
Ulisikia wapi
Kuna shepu za kuvunja tendegu![]()
Hivi wewe....Viazi vitamu vipo vingi,vilishaanza tokea mwezi wa nne vinadumu hadi mwezi wa 12
Sent using Jamii Forums mobile app
Anne nawewe kwa upambe mnaenda sambamba!!😂😂🤣Umeshashindikana
Ulisikia wapi
Kuna shepu za kuvunja tendegu![]()
NdioOoh kumbe
Manumbu ndo viazi vitamu ?
Huko mnafaidi vyakula vizuriViazi vitamu vipo vingi,vilishaanza tokea mwezi wa nne vinadumu hadi mwezi wa 12
Sent using Jamii Forums mobile app
Kule ndio kwenyewe
Na fia za kumwaga![]()
Kwisha habariIle inavunja hadi kochi kama haliko imara


AmetengenezaKwisha habari
Pepo kishaharibu![]()