Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,988
- 177,222
Kweli siamini kama ulikuepo!! Wewe Sio wa kukaa kimya Anne!!Nimeona na ya walebanon wawili wakiwa wamevaa cadet🏃🏾♀️
Siaminiki😂.
Kweli siamini kama ulikuepo!! Wewe Sio wa kukaa kimya Anne!!Nimeona na ya walebanon wawili wakiwa wamevaa cadet🏃🏾♀️
Siaminiki😂.
NimeandikaHivyohivyo![]()

Asante,
Acha tuKweli siamini kama ulikuepo!! Wewe Sio wa kukaa kimya Anne!!

Nadhani nina karibu kila picha ambayo umeshawahi kurusha hapa. Kama huna mpya basi hata bashasha ya kusubiria hakuna. Sad!Hahahaaaa... mida mida msukuma!! Ila sina hata mpya eti!



Kwani Buti si ni buti tu?Nimeandika
Nikafuta
Nikaandika
Tena nikafuta
Ni vile tu ka last born ketu
Nitafanya nini sasa![]()
Kabisa msukuma hamna jipya!Nadhani nina karibu kila picha ambayo umeshawahi kurusha hapa. Kama huna mpya basi hata bashasha ya kusubiria hakuna. Sad!![]()
Buti kama la Mjep 😜Kwani Buti si ni buti tu?
Ukinizingua nakugonga na butiView attachment 2222041
Saresare maua na Mjep Mr vochaButi kama la Mjep![]()
SimiyuOoh vyema .. viazi vitamu msimu wake ni lini ?
Napenda sehemu ya hivyo

Nitakupitishia


Ooh kumbeSimiyu
Sasa
Ndio msimu wa manumbu![]()
kwetu tunaita vilumbu!!🤔Simiyu
Sasa
Ndio msimu wa manumbu![]()
Viazi vitamu vipo vingi,vilishaanza tokea mwezi wa nne vinadumu hadi mwezi wa 12Ooh vyema .. viazi vitamu msimu wake ni lini ?
Napenda sehemu ya hivyo
UmeshashindikanaNa ile ya shepu la kuvunja kitannda ile ya suruali



Kile kindoo kidogo, sikinai kabisa ila tu nisiwe nimekula chakula kingne zinaisha yaani.Ndoo?
Haukinai?