Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Hivi mbona huniambii siku ya kula ubwabwa
Hivi mbona huniambii siku ya kula ubwabwa
😅😊 Umeona eeh.. sio mtu anakuja anaondoka mnakaa masaa 48, mnacheza cheza mnakula mnapika ikiwezekana mnatoka out mnarudi yaani flesh mnaoga au basi
Sikumbuki Vizuri sijui ni ndege au mtu ni anaeongea hatariii Wigelekelo njoo utoe mwongozo pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!Hivi chuchunge ni nani?
Simjui![]()
Malizia bwanaUmeona eeh.. sio mtu anakuja anaondoka mnakaa masaa 48, mnacheza cheza mnakula mnapika ikiwezekana mnatoka out mnarudi yaani flesh mnaoga au basi
Mtaalamu @wigeleko

Mimi hadi nyumbani wananiforce kujichanganya.

AiseeeSikumbuki Vizuri sijui ni ndege au mtu anaeongea hatariii Wigelekelo njoo utoe mwongozo pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!!






Hii ya shule umenikumbusha, nimekaa hostel unatoka huko umechoka ufike basi upumzike unakutana na nyomi la kufa mtu, kelele sasa kama mpo stendi nilikua naboreka. Sasa na mtaani tena nikarundikane na watu hii hapana nshashindwa.Mimi hadi nyumbani wananiforce kujichanganya.
Muda mwingi huwa nakaa mwenyewe natulia.
Hakuna adhabu maishani kama kuishi maisha ya hivyo..nimeyaishi shule yaani niliteseka mno
Wewe unataka kulala,mwingine anaweka mziki,wengine wanapiga makelele yaani kero tupu.
Kaa Kwa utulivu nikishapewa mimba na kuzaa nitabariki ndoaHivi mbona huniambii siku ya kula ubwabwa
Na ndo mana unazidi kuwa mjeuri kila uchwaoMimi hadi nyumbani wananiforce kujichanganya.
Muda mwingi huwa nakaa mwenyewe natulia.
Hakuna adhabu maishani kama kuishi maisha ya hivyo..nimeyaishi shule yaani niliteseka mno
Wewe unataka kulala,mwingine anaweka mziki,wengine wanapiga makelele yaani kero tupu.
Oooh hapo sawa.Mbeya vijijini
Mie si nimejua jana mwenzio. Khaaah,




Hakuna namna..Umenikumbusha "kubariki ndoa"