Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,974
- 35,341
sasa hapo mademu zao wanawaingiza mda gan? Ni mwendo wa exile tyuuh. Aaaaah

em akija mwenyewe tutamuuliza wanafanyaje
Jmn hata lips nazo ukaficha?Tuesday
I choose blackView attachment 2218805
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Sie bwana sijui nan alituroga.Wanaume wapo peace sana tofauti na sie
Sisi huwa tunapuuziwa vitu vidogo...sio kuwa hatuudhiani au kukoseana bali huwa tunachanana live na tunabaki washkaji.
Wengine tunaweza kutoa kiimojo hicho mkuu 🤣
Na tunakaa wanne 😅😅😅 kitandani wote tunatosha tunalala marufuku kupigana mtu korido mtu 😅😅😅Wanaume kwene maghetto ya hivi mnaweza ishi fresh tu ila akina sisi hapana aisee ni tutakorofishana kesho tu, mwendo wa kutupiana virago nje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi.Na tunakaa wannekitandani wote tunatosha tunalala marufuku kupigana mtu korido mtu
![]()
Tuesday
I choose blackView attachment 2218805
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app


Sasa warembo wenu wakija inakuajeNa tunakaa wannekitandani wote tunatosha tunalala marufuku kupigana mtu korido mtu
![]()






yaan uwiiiiih.Tatzio sisi umbea, tutakorofishana tu hakuna namna.Sisi huwa tunapuuziwa vitu vidogo...sio kuwa hatuudhiani au kukoseana bali huwa tunachanana live na tunabaki washkaji.
Ninyi huwa mnanuniana bila kuelezana ukweli.
Na ukieleza ukweli nako unanuniwa haha
Usijar.
Na tunakaa wannekitandani wote tunatosha tunalala marufuku kupigana mtu korido mtu
![]()





kitanda k1 mnalala watu 4?Ndyooo mama malezi, uko ghorofani.








niache kwan bas, nacheka km mwendawazimu.