Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Tuombe uzima

Nilitaka niwahi mbina ya 30 Mei lakini naona mambo yamejikonfyuzi. Nitatageti saba saba au nane nane....

Ng'wanachūli chūli
Mgonga
Ng'wanapilipili
Shangata
Nīndwa
Nyanda Omulūkala Sonda...
Nyanda OmuMagūlū Mangū

Na mamanju wengine.

Utamaduni wetu....

Naupenda mno!
Lya salasini

Tunakodi bus

Goja na goshoka
 
Kinachokushangaza nini mkuu?
Wakati tayari nilikuwa na watoto wawili..tena toka dini tofauti na yangu.

Hao wasio walokole uliaambiwa wana kasoro miili yao?
Ujaelewa ata chembe..! Afu ujue unaongea na known person to you..!
 
Tuombe uzima

Nilitaka niwahi mbina ya 30 Mei lakini naona mambo yamejikonfyuzi. Nitatageti saba saba au nane nane....

Ng'wanachūli chūli
Mgonga
Ng'wanapilipili
Shangata
Nīndwa
Nyanda Omulūkala Sonda...
Nyanda OmuMagūlū Mangū

Na mamanju wengine.

Utamaduni wetu....

Naupenda mno!
Hahaha lyasalasini abhanho bhagichimaga sana egesiti sigamadekaga mmadilo guke
 
Usikatae wito...

Kataa unachoitiwa...

Siyo wote wababe....

Kijana mstaarabu sana....

Na exposure kama zote.....

Kupiga goti mbona ishu ndogo tu?
Kwenye ustaarabu sijagusia kabisa mko vema ubabe hauna mabadiliko akija aje cheti Cha kubembelezacv ziwe zimeshiba asisahau uzoefu alokuwa nao wa muda gani

Mama njoo bas nikuone
Bby uko sawa kweli
Umechoka eeh pumzika bas

Sio wew uje saambili kamili uwe hapa
Naongea umenyamaza nitakupiga vibao
Ya Nini mie


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kwenye ustaarabu sijagusia kabisa mko vema ubabe hauna mabadiliko akija aje cheti Cha kubembelezacv ziwe zimeshiba asisahau uzoefu alokuwa nao wa muda gani

Mama njoo bas nikuone
Bby uko sawa kweli
Umechoka eeh pumzika bas

Sio wew uje saambili kamili uwe hapa
Naongea umenyamaza nitakupiga vibao
Ya Nini mie


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Naona tu nikukaribishe kwenye ukoo wetu. Kijana mstaarabu sana tena mno. Nilishakaa naye namfahamu vyema. Kama aliweza kudeti mzungu kwa miaka mitatu na kwako naamini hatashindwa hasa ukizingatia kuwa wazungu wanapenda kudekeshwa hatari. Yupo Mwanza hapo anapiga mishe zake...

Karibu kwetu Nyaumata
 
Back
Top Bottom