Alayna
JF-Expert Member
- Dec 18, 2021
- 1,010
- 3,554
Mbona wapo jamaniWeeeh!!!
Mzungu anakuwaga cheusi Mangala?
Mbona wapo jamaniWeeeh!!!
Mzungu anakuwaga cheusi Mangala?
Basi sasahivi kama hadi Mimi mzungu itakuwa kila mtu mzungu 😂Mbona wapo jamani
Kuna version aliyo imba Angel chibalonza.. shida hapa natumia gereza huru.. nakuwekea link kama utaipenda version yake..Saint Anne Heaven Sent _King Kuna ule wimbo ni wa kusifu siukumbuki vizuri una some verses zinasema ""ndiooooo ndiiiiioo bwanaaaaa ndiooo bwanaa ndioooo..". kama mnao naomba mnitumie hapa nautafuta sana
🤣🤣🤣 humu kila mtu mzungu na mwaka huu tujipange kurudi kwenye nchi zetu maana Mama samia kaanza visaBasi sasahivi kama hadi Mimi mzungu itakuwa kila mtu mzungu 😂
Dah Mimi wa mchongo,Tena mchongo wa uongo🤣🤣🤣 humu kila mtu mzungu na mwaka huu tujipange kurudi kwenye nchi zetu maana Mama samia kaanza visa
😂😂😂🤣🤣🤣.... kuna sehemu wanarudia rudia" There's no one like Jehovah there's no one like Jehovah "' 🤣🤣😂😂😂😂Siku nyingi nautafuta sana sijui kaimba nani ila!Hebu yapachike halafu tuone 😂😂😂
Wasalimie wajasi mkuu
Na ingine kuna ya Eunice NjeriSaint Anne Heaven Sent _King Kuna ule wimbo ni wa kusifu siukumbuki vizuri una some verses zinasema ""ndiooooo ndiiiiioo bwanaaaaa ndiooo bwanaa ndioooo..". kama mnao naomba mnitumie hapa nautafuta sana
Salamu zimefikaWasalimie wajasi mkuu

Kuna version aliyo imba Angel chibalonza.. shida hapa natumia gereza huru.. nakuwekea link kama utaipenda version yake..
🤣🤣Dah Mimi wa mchongo,Tena mchongo wa uongo
Baba yetu Wasira au yupi?
Hiki Cha huyu dada kinaelekea kumfikia wa majalalani







Hapa nikaanza kuimba "Kila mtu anasema u mwema..... kuna sehemu wanarudia rudia" There's no one like Jehovah there's no one like Jehovah "'
Siku nyingi nautafuta sana sijui kaimba nani ila!
Hamna, nilikuwa nasikiliza tu masong, huo nao ukapiga. Nikasema nimtumie Mtumishi aufikishe kwa my wake na yeye ajidaiKupatwa kwa Mama Mchungaji?
Monday to Monday
Mapenzi ndi ndi ndi!![]()