Strawbella
JF-Expert Member
- Mar 24, 2021
- 1,758
- 5,803
mbio kuingiza
Nini na uliingiza wapi![]()
Mpaka muda huu balimi zimefika ngapi wige?


mbio kuingiza
Nini na uliingiza wapi![]()


Asiyejua maana haambiwi maana 😎Ni.eshangaa hiyo mitishamba tu dogo sijui malimao, sijui ndulele au ni local beer🤣
Hahahaha na ndiyo nimetoka kuliongeza kwa mara ya mwisho kibonge mimi. Utalibana tu kidogo kwenye kiuno nyigu chakoHili nakuzima hili gauni
Hili ni jambo zuri sana, Saint Anne anatuletea mjukuu..Wahuni sio watu
Tayariii
Mama kijacho![]()
Tutazikimbilia hadi mwishoEndeleeni kukimbilia vocha.. ila muangalie msijikwae.






Nisamehe dogo nimekutania usije ukanipigaaAsiyejua maana haambiwi maana 😎
Aaah mama Sophy mwili wa kiportable kabisa huoKibonge jamn Heaven Sent View attachment 2216821
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mwambie kujikwaa siyo kuangukaTutazikimbilia hadi mwisho![]()
Mkuu, wewe zamani ulikuwa unaitwaje?Kibonge jamn Heaven Sent View attachment 2216821
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app

Lile tambi langu au kiuno Gani?Hivi hujaona picha ya anne ?
Ana kiuno kama nyigu..
ila kuipata ndio shughuli zipo zenye version nyingi sana ya hii beat

Depal mpe hai mama la mamaWith tumakapu Saint Anne View attachment 2216823

Aunt💕💕💕💕Kibonge jamn Heaven Sent View attachment 2216821
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mpwa ushaachia mzigo?lakini ujuwe natania tu mama...



Nina kajunia tumboni
Kuitwaje kivipi?Mkuu, wewe zamani ulikuwa unaitwaje?![]()
Irudiwe
Amekusonya mnyakyusa huyoMdogo wangu Saint Anne
Njoo unitafsirie hii emoj hapa ndiyo wamenambia nini hata sielewi mdogo wangu, au ndo nimepigwa ban??
Lile tambi langu au kiuno Gani?