Ukifanyiwa op sawa unauweka mwli jeraha lisilopona dear na Bora kawaida wanawake tumeumbiwa tuzae kwa uchungu tucheze segere huko Hadi kielewek
ikitokea bahat mbaya ni Op Basi ni mapenz ya Mungu pia
Pata picha ujikate kisu jeraha lilivo na linavouma imagine zikatwe layer sio chin ya tatu kufikia mtoto
Sent from my Infinix X650B using
JamiiForums mobile app