Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,822
- 233,255
Nimegundua wewe ni mtu mstaarabu licha ya yale matani yako uliyokujaga nayo humu watu wakawa wanakuchukulia kama mtoto.Kichwa kimenivimba, ahsante.
Dah! kuna watu mnajua kuomba na mna style za kuomba selfie 😂😂Nimegundua wewe ni mtu mstaarabu licha ya yale matani yako uliyokujaga nayo humu watu wakawa wanakuchukulia kama mtoto.
Kule intelligence nimeona uliuliza maswali ambayo nikuwa nayawaza...nikawa naserereka tu mkuu.
Hebu Selfika picha yako kidogo boss wangu tuviringishie vizuri hizi sifa.
Dah! kuna watu mnajua kuomba na mna style za kuomba selfie
anyway, majaaliwa nitaweka tu mkuu.
Poa nikiweka nitakutag.
Mkuu hizo sifa hazihusiani na Mimi kuomba selfie.
Imagine nimesubiri muda wote huu nafungua comment yako Kwa pupa nilijua umetupia kitu
Si unajua namna inavyouma eeh??
Na nimekusifia wewe si mbinafsi, tafadhali mkuu fanya namna hapa kabla sijalaza hili fuvu.
Aisee..Poa nikiweka nitakutag.
Sema sio leo siku ingine mkuu.
Polesana lakini pia ulitumia busara mno kumuacha maana ungempiga ungemuumiza aiseeKuna msichana mmoja alinipiga ngumi, sijui ni ngumi ile sijui ni kitu gani, alinipiga usoni miwani ikavunjika, daaahhh, aisee nilikunja ngumi kwanza iliyoshiba, nikaivuta nyuma huku nimemshika nguo kifuani, yaani nilivuta ile ngumi iliishia hewani anaiangalia sikumpiga, huku nikiwa na hasira sana, niliondoka machozi yakinilenga kwa ile hasira.
Kuna wanawake huwa wanajaribu kukufanya uwapige au uwatukane muanze kutukanana na hii inasababishwa na baadhi yao wanatokea kwenye mahusiano ya namna hii, unakuta watu waliokuwa nae au familia anayotokea kuna mambo hayo.
niliondoka hatukuonana kwa siku kama 4, hakuwahi kunitukana wala kujaribu kunipiga, nilimfundisha mapenzi sio ngumi wala kutukanana..
Mkuu we acha tu mahusiano yapo very complicated usizungumzie upande mmoja tu.
Shikamoo Aunt sophy27Binafs kwa huku nakoishi wapo lkn nisiseme uongo sijawahi chunguza sabbu ni ipi huenda wanawake wakawa ni sabbu
Lkn pia haimfanyi umpige had azimie kunanamna nyingi za kurekebishana..
Mapenz yamekuwa hayana mvuto na kikubwa heshima hakuna kwa pande zote hakuna heshima kwa mwanaume kwa mwanamkewake na mwanamke Hana heshima kwa mwanaume wake
Hakunatena kukosoana kwa adabu hakuna usiri hakuna kusikilizana Wala kubembelezana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Bei ya wese imempoteza kijana wanguMulangira @9.8ms squared aka Kijana wa Hovyo kapotelea wapi siku hizi? Au kabadili ID?
Pole sanaHapo ni murder case.
Sema huyo mtoto hatonisahau, ni manzi alikuwa na career yake nzuri tu, mahusiano yalikufa tokana na umbali, maisha mzee daahh..
Ni muda mrefu sasa ummepita lakini nilikutana nae mwaka jana, alinishukuru sana kwa jinsi nilivyokuwa nampa care, i wish ningefanya zaidi lakini ndio hivyo, ilikuwa nje ya uwezo wetu.
Naamini ana furaha huko aliko.
Japo Jaguar yake yaweza kuwa na kiu ya wese lakini yule hayumo kwenye levo za kubabaishwa na bei ya wese. Nahisi pengine kabadili ID tu....Bei ya wese imempoteza kijana wangu
#natania#
Good girl,Marhaba kijanawangu
Kunawanaume hawana sabbu za kupiga mwanamke ni kuonyesha tu ubabe alionao
Nakumbuka miaka ya nyuma nilipigwa kibao
Alikuwa mwanaumewangu wa kwanza nilipenda kufa Yan huniambii kitu tulikuwa na kutokuelewana km mwez hivi
Nikaenda kumuomba tuzungumze yeye anatak kuondoka na ni km saambili hafanyi kazi za usiku huenda anawahi hamna analazimisha kutoka alafu simuyake inaita mno nikachomoa funguo mlangoni nikamwambia nipe dkka tano then mm pia nilikuwa nawah home
Akanipiga kibao aisee sikuongea na ndo tuliachana hapo kumbe ilikuwa jeuri ya kupendwa bhna akajua nitarudi ndo mazima kibao kilivunja penzi
Hadi leo ukimuuliza sabbu ya kunipiga kibao Hana na anajutia mno alikuwa na kadada kanamchanganya mm nilikuwa student upande ule
Ndo ya kwanza na ya mwisho kwenye maishayng alafu sijakutana nao wapigaji jaoo pia kunipiga inataka rohongumu huwez pata sabbu ya kunirushia ngumi
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mbona nimeselfika Sana Jana humuBei ya wese imempoteza kijana wangu
#natania
Good girl,
Selfika basi mkuu
Kijana atakua anatambulika kwa jina lingine bila shakaJapo Jaguar yake yaweza kuwa na kiu ya wese lakini yule hayumo kwenye levo za kubabaishwa na bei ya wese. Nahisi pengine kabadili ID tu....
Mwenyewe nimeselfika sana tuu hiyo jana ila sijabahatika kukutana na selfie yakoMbona nimeselfika Sana Jana humu
Alafu kunakasheria kapya ukiomba irudiwe unaselfika kwanza wew
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Achana na mayoba