Aaliyyah
JF-Expert Member
- Mar 20, 2022
- 19,988
- 48,486
Huko nje Kuna FFU wa kutoshaStudent
Ni kweli upo peke yako nyumbani? hebu nipe location.



Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Huko nje Kuna FFU wa kutoshaStudent
Ni kweli upo peke yako nyumbani? hebu nipe location.



Kiongozi upo vizuri!
FFU achana nao hao wanawatafuta panya road..


,si ajabu hata pale Mbezi stand anatufanyia tu Sanaa
Saint AnnePombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila pombe? Imeumbwa iwafurahishe watu.
Sira 31:27
Taratibu nafika hapo bar maramoja tuonane baadae ndugu zangu.
Vipi hali yako leo dear ?Nakuambia hivi!
Hameni kwanza stoo ndio mje kunisema![]()
Acha kwanza kutumia cheap android phone ndio uanze kunisema 😛Akiyanani nimecheka
Mashimo siku hizi aanaigiza bongo movie?
Aisee,si ajabu hata pale Mbezi stand anatufanyia tu Sanaa
View attachment 2215335View attachment 2215337
😂😂 sihami… na nitakusema kila sikuNakuambia hivi!
Hameni kwanza stoo ndio mje kunisema😂😂😂😂😂😂😂
Nilivosoma kwa umakini loohPombe ni kama uhai kwa mtu ukinywa kwa kiasi. Maisha yafaa nini bila pombe? Imeumbwa iwafurahishe watu.
Sira 31:27
Taratibu nafika hapo bar maramoja tuonane baadae ndugu zangu.


Naelekea bar kulifanyia kazi andiko.
Usiku nilistruggle mno kulala.Vipi hali yako leo dear ?
JomonyyyyNimemficha huku Survey tyuuuu
Sijui na mimi niwaambie mkajifunze kwanza kuogasihami… na nitakusema kila siku




Acha kwanza kutumia cheap android phone ndio uanze kunisema![]()
















Za godown?Katafuteni kwanza gram 10 ndio mje kuchat na Mimi 🤣
Nini shida binti Zuma?Usiku nilistruggle mno kulala.
Asubuhi nikaamka vizuri.