Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,717
- 98,375
Imebidi niwe mpole
Kwisha habari yangu. Ni kuondoka hapa tu kwa kweli.
Goodnight wanaselfika![]()


We jipitishe kwa huyo babu wa kisukuma atakuvuta pembeni ohoo![]()

2/3 and I don’t care 😋Itakuwa nusu gram bila shaka
Nimeyaona majengo ya st. nini nini university
Sasa shangaziHebu tulia huko,mimi natembea na fimbo kabisa
Ngoja aje [mention]mzabzab [/mention] atuambie kama wewe ni mzee au?![]()
Yan wew wa kufuta picha kabla mm mhanga mwenzio wa kupitwa na matukio sijaonaShouzzz uko faster wee lol.![]()
Aisee watu ambao hamvai gram 10 mnajulikana tu.2/3 and I don’t care 😋
Katafuteni kwanza gram 10 ndio mje kuchat na Mimi 🤣
Usiyeyajua hata maduka ya gram huko kkoo? AkuuuAisee watu ambao hamvai gram 10 mnajulikana tu.
Katafuteni kwanza gram 10 ndio mje kuchat na Mimi😂
Nakuambia hivi!Usiyeyajua hata maduka ya gram huko kkoo? Akuuu
Chat mwenyewe
Mambo?Usiyeyajua hata maduka ya gram huko kkoo? Akuuu
Chat mwenyewe
Auntie Junia nigawie shepu hiyoHome alone
Nimeshiba niselfike tu sasaView attachment 2215309
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
StudentHome alone
Nimeshiba niselfike tu sasaView attachment 2215309
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kiongozi upo vizuri!
Sasa shangazi
Hivi unataka kuninyima nini
Kwa uzee upi ulionao


Unanicheka eeh sawa bhna nitapata na mmAuntie Junia nigawie shepu hiyo