Tinsley
JF-Expert Member
- Nov 16, 2020
- 14,590
- 38,225
Ooh kumbe itakuwa wamekuzoea mteja wao30.
Sema mie sijawahi kulipa, wananifanyiaga buree tyuuh.
Sinza bei zao zimechangamka
Ooh kumbe itakuwa wamekuzoea mteja wao30.
Sema mie sijawahi kulipa, wananifanyiaga buree tyuuh.
Usinyoe lknEeh wapo vizuri basi
Make up bei gani wanafanya hapo ?
Simple make up haswa
Ya kasura sijawah ujue.Kwan hujawahi kuinyaka yangu?![]()
SelfikaaaaView attachment 2214582
MayonaizWige wewe ni mkorofinan kasema hizo wanakula tu wanaume wa Dar? Anakula yoyote bwana muone.



Umeziba mnoo, hata hatujaona yaan uwiiiih.
Kwangu nipo pekeyanguUnasagia kunguni
Hadi sio poa
Elewa tu mpo wengi![]()


Coca hujaona nn?Umeziba mnoo, hata hatujaona yaan uwiiiih.
Wewe si umenionaga?Umeziba mnoo, hata hatujaona yaan uwiiiih.
YeahChurch lady…
Jaman hajaweka hiyo ebu mniachie rafiki yanguMayonaiz
Aah wewe

mna nini lakiniEwaaaaa
Yaan pale kuna kusuka, kunyoa, make up, etc.Ooh kumbe itakuwa wamekuzoea mteja wao
Sinza bei zao zimechangamka
Mimi ni kigeu geu siwezi kunyoa kiurahisiUsinyoe lkn
Leo umepatwa na nn?Kwangu nipo pekeyangu
Mimi yeye Mimi ntakufa na yeye
Nampenda nampenda nitazidi kumpenda
Tamfuata pale pote ye anapokwenda
Ikiwa wazi nikimuona moyo una dunda
Mimi na yeye nitakufa na yeye
Hata useme nini nitabaki na yeye
Mpaka mwisho wangu nitabaki na yeye eeeh
Tatalatatalalata talalatatatalataaa
Mr Blue![]()




Yaan pale kuna kusuka, kunyoa, make up, etc.
Mie mteja wao, afu c unajua mie mambo mengi, huwa nawafurahisha na mastory, yaan utakuta wenyeww wananichek kwa cm niende.
Kunyoa elf 5,