Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Walimu kazi tunayo mbona kwahawa Vijana wanaobalehea shuleni tabu tupu!!!
Kwasasa kiukweli tujitahidi sana kuwapa elimu ya afya lakini kuhusu kuwazuia juu ya hii ni kazi sana.
Jumatatu nilipokea vijana wa miaka 12 wanne kila mtu na mpenz wake, wamekuja kuomba ushauri watumie njia gani ya uzazi wa mpango
 
Kabisa mkuu mie sitaki mazoea ujinga kabisa!! madogo ya olevo especially girls yanatuangusha sana wanawake kitaaluma vichwani mwao kumejaa mapenzi tu shenzzz zao!!
shouzzz wakaka wa advance wanakuaga watamu hapo wee hujui tyuuh.
Mapenzi ya shule ni nyokooooh, full utraaamuuuu. Weuweeeeh
 
Kwasasa kiukweli tujitahidi sana kuwapa elimu ya afya lakini kuhusu kuwazuia juu ya hii ni kazi sana.
Jumatatu nilipokea vijana wa miaka 12 wanne kila mtu na mpenz wake, wamekuja kuomba ushauri watumie njia gani ya uzazi wa mpango
Wa primary hao?
 
Back
Top Bottom