Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,974
- 177,195
Ndio juzikati tu ndio imeanza !nilienda wakanipa mavidonge fulani hivi naona bado nataka niende hospital nyingine nione! Mi mwenyewe chakula changu kikubwa kilikua mchemsho sipendagi vya kuunga unga sana mie sasa hapo nakomaje!! ya kuku hadi niikaange kauuu walau!Ooh pole
Kumbe imetokea hivi karibuni vipi umeenda hospital yawezekana ni allergy fulani hivi .
Navyopenda nyama .. nakuonea huruma aisee
Supu huwa nzuri sana wakati wa uzazi ..nakuombea upate suluhisho aisee


wee endelea na wige wako huyo. 




