Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ooh nice
Samaki unakula ?
Samaki Ndio mkombozi wangu saivi! Yani tangu nizaliwe nilikua nakula saivi kama miezi 6 hivi nashangaa nikila Navimba a mwili mzima afu nawashwa utanionea huruma! Hapa nawaza nikibeba ujauzito mwingine nikijifungua kupatikana kwa samaki sasa nilivozoea mchemsho wa nyama mie uwiii!!!!!🙆🙆
 
Samaki Ndio mkombozi wangu saivi! Yani tangu nizaliwe nilikua nakula saivi kama miezi 6 hivi nashangaa nikila Navimba a mwili mzima afu nawashwa utanionea huruma! Hapa nawaza nikibeba ujauzito mwingine nikijifungua kupatikana kwa samaki sasa nilivozoea mchemsho wa nyama mie uwiii!!!!!

Ooh pole
Kumbe imetokea hivi karibuni vipi umeenda hospital yawezekana ni allergy fulani hivi .

Navyopenda nyama .. nakuonea huruma aisee
Supu huwa nzuri sana wakati wa uzazi ..nakuombea upate suluhisho aisee
 
Good night wote

20220503_224645.jpg
 
Back
Top Bottom