Wigelekelo
JF-Expert Member
- Sep 2, 2018
- 8,765
- 26,901
Hiyo jeans
Ndio high weist
Ndio high weist
Ndio rafikiOh kumbe
Mmefanana sema yeye hana dimplez.Wacha nitupie ya kaka yangu kipenzi,sina zaidi yake,,last born
Hivyo kesho ni birthday yakeView attachment 2210487
Sent using Jamii Forums mobile app



Nimeiona dearUshainyaka dea?![]()
Sema ndioItakuwa maana walipata mtoto
Jamaa huyo akaacha njia zake na kuwa pastor


Walifunga ndoaMwisho wake
Walipelekeana moto![]()
Hahaha ndioSema ndio![]()
Kama naanzastarehe yangu anaijua mjeda tu!!!
![]()


Samaki Ndio mkombozi wangu saivi! Yani tangu nizaliwe nilikua nakula saivi kama miezi 6 hivi nashangaa nikila Navimba a mwili mzima afu nawashwa utanionea huruma! Hapa nawaza nikibeba ujauzito mwingine nikijifungua kupatikana kwa samaki sasa nilivozoea mchemsho wa nyama mie uwiii!!!!!🙆🙆Ooh nice
Samaki unakula ?
Yes deariewatu weuweeeeeh
Angeoewa dimples ingekuwa shida ujueMmefanana sema yeye hana dimplez.
Happy bday to dogolass.![]()

shos siioni mbonaDuuuh poleeeeh,![]()
Samaki Ndio mkombozi wangu saivi! Yani tangu nizaliwe nilikua nakula saivi kama miezi 6 hivi nashangaa nikila Navimba a mwili mzima afu nawashwa utanionea huruma! Hapa nawaza nikibeba ujauzito mwingine nikijifungua kupatikana kwa samaki sasa nilivozoea mchemsho wa nyama mie uwiii!!!!!![]()
UmejuajeOoh pole
Kumbe imetokea hivi karibuni vipi umeenda hospital yawezekana ni allergy fulani hivi .
Navyopenda nyama .. nakuonea huruma aisee
Supu huwa nzuri sana wakati wa uzazi ..nakuombea upate suluhisho aisee


Tanteeeeeeh.Yes dearie
Mwili huo raha kila nguo wewe inakutosha na kukupendeza
Naam