Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi sipendi supu wala ndizi na huo mtori
Huwa najiuliza hili ila nasikia wengine wanasema hizo supu si nzuri zinafanya unanenepa tu nothing else . ..
Nilisikia supu ya samaki ni nzuri inawahi kukaza kiuno/ mgongo kwa mzazi!
Lakini pia na supu ya nyanyachungu ni nzuri kwa mzazi eti mimi walikua wananichemshia nilipojifungua sasa ikikosekana hio samaki supu ya nyanyachungu kavukavu mwanangu 🤔🤔🙆!
 
Ooh hapo jitahidi uongeze vyakula vingine venye protein .. aisee naamini Mungu atakufungulia njia utarudi katika hali ya kawaida .

Yeah wapo wasiopenda hiyo michemsho na watoto wanakuwa vyema tu .
Kabisa ila hii aleg ya ukubwani inikome Mie 😩 naamini nitapona IJN!!
 
Nilisikia supu ya samaki ni nzuri inawahi kukaza kiuno/ mgongo kwa mzazi!
Lakini pia na supu ya nyanyachungu ni nzuri kwa mzazi eti mimi walikua wananichemshia nilipojifungua sasa ikikosekana hio samaki supu ya nyanyachungu kavukavu mwanangu !

Ooh kumbe
Huku tumezoea ya ngombe tu
Samaki wa sato au aina ipi
Ooh na hiyo ya nyanyachungu pia kumbe

Hakika kuna alternative nyingine ambayo itakusaidia kurejesha afya vizuri .
 
Back
Top Bottom