tamsana
Platinum Member
- Jan 13, 2012
- 3,830
- 8,246
KazanaNaelekea final.![]()
KazanaNaelekea final.![]()
Great day indeedI am okay
Had a gud day?
Nilisikia supu ya samaki ni nzuri inawahi kukaza kiuno/ mgongo kwa mzazi!Mimi sipendi supu wala ndizi na huo mtori
Huwa najiuliza hili ila nasikia wengine wanasema hizo supu si nzuri zinafanya unanenepa tu nothing else . ..
Thanx.Kazana
I finally got to see my little Sister, nice photo kadogooo.
Kabisa ila hii aleg ya ukubwani inikome Mie 😩 naamini nitapona IJN!!Ooh hapo jitahidi uongeze vyakula vingine venye protein .. aisee naamini Mungu atakufungulia njia utarudi katika hali ya kawaida .
Yeah wapo wasiopenda hiyo michemsho na watoto wanakuwa vyema tu .
Yeaaaaah ma sis kipenziii,,I finally got to see my little Sister, nice photo kadogooo.



Nasubir hapa.
Utaanza lini kunipa shikamoo 😂Yeaaaaah ma sis kipenziii,,![]()
Kaa hapo hapo nikutumie picha ya hii kamera yangu uone!Yeaaaaah ma sis kipenziii,,![]()
Nilisikia supu ya samaki ni nzuri inawahi kukaza kiuno/ mgongo kwa mzazi!
Lakini pia na supu ya nyanyachungu ni nzuri kwa mzazi eti mimi walikua wananichemshia nilipojifungua sasa ikikosekana hio samaki supu ya nyanyachungu kavukavu mwanangu!
Namimi nasubirii😜Kaa hapo hapo nikutumie picha ya hii kamera yangu uone!
Fanya mambo tulaleKaa hapo hapo nikutumie picha ya hii kamera yangu uone!
AmenKabisa ila hii aleg ya ukubwani inikome Mienaamini nitapona IJN!!
Tatizo kamera best!!!Fanya mambo tulale
Leta hivyo hivyoTatizo kamera best!!!
Ehh pole