cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 116,289
- 187,941
Nasubir Eid, pilau liko wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nasubir Eid, pilau liko wapi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Duh hatariItabidi tugombanie na mwenye kisu kikali ale nyama
Ndio hivyo jamani. Ni dunia ya ushindaniDuh hatari
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] duuuh aseee shost poleee.
Ooh upo sahihiNdio hivyo jamani. Ni dunia ya ushindani
Sasa si uwage unaenda saluni nawee, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23]
Asante shost
Kwakweli. Nitapambana nifanye hivyoOoh upo sahihi
Nafanyaga hivyo .. zimenitesa mwezi mzima ndo zimeota vizuri [emoji23][emoji23]Sasa si uwage unaenda saluni nawee, [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ooh niceKwakweli. Nitapambana nifanye hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka, kumbe huwa anatinda mkaka? UwiiiiiohNafanyaga hivyo .. zimenitesa mwezi mzima ndo zimeota vizuri [emoji23][emoji23]
Naendaga nikienda kutengeneza kucha sasa yule mkaka ambaye ananitinda akawa amehama pale ..
Ndio wakaka huwa wanatinda vizuri sana .... Napenda huduma zao si nyusi tu hadi nywele wanajua kuzihudumia vyema[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] nimecheka, kumbe huwa anatinda mkaka? Uwiiiiioh
do kumbe we msabato.okOoh nice
Wasabato hawavai hata pete ya ndoa
Na mimi najua tena vizuriiii mkuuNdio wakaka huwa wanatinda vizuri sana .... Napenda huduma zao si nyusi tu hadi nywele wanajua kuzihudumia vyema
Yeah rafikido kumbe we msabato.ok
Eeh kumbe rafiki [emoji23]Na mimi najua tena vizuriiii mkuu
Usininyime hii riziki[emoji6]
Aseeeeeeh kumbe wako vizuri sana?Ndio wakaka huwa wanatinda vizuri sana .... Napenda huduma zao si nyusi tu hadi nywele wanajua kuzihudumia vyema
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka nusu nipaliwe khaaah.Eeh kumbe rafiki [emoji23]
Sijawahi kujua hili