cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 112,161
- 181,296
Nasubir Eid, pilau liko wapi?




Nasubir Eid, pilau liko wapi?




Duh hatariItabidi tugombanie na mwenye kisu kikali ale nyama
Ndio hivyo jamani. Ni dunia ya ushindaniDuh hatari
Ooh upo sahihiNdio hivyo jamani. Ni dunia ya ushindani






mie sikuwepo eti, afu easter ya mwaka huu imekuja, nikiwa napambania uhai wangu.Kwakweli. Nitapambana nifanye hivyoOoh upo sahihi
Nafanyaga hivyo .. zimenitesa mwezi mzima ndo zimeota vizuriSasa si uwage unaenda saluni nawee,![]()


Ooh niceKwakweli. Nitapambana nifanye hivyo
Nafanyaga hivyo .. zimenitesa mwezi mzima ndo zimeota vizuri
Naendaga nikienda kutengeneza kucha sasa yule mkaka ambaye ananitinda akawa amehama pale ..






nimecheka, kumbe huwa anatinda mkaka? UwiiiiiohNdio wakaka huwa wanatinda vizuri sana .... Napenda huduma zao si nyusi tu hadi nywele wanajua kuzihudumia vyemanimecheka, kumbe huwa anatinda mkaka? Uwiiiiioh
do kumbe we msabato.okOoh nice
Wasabato hawavai hata pete ya ndoa
Na mimi najua tena vizuriiii mkuuNdio wakaka huwa wanatinda vizuri sana .... Napenda huduma zao si nyusi tu hadi nywele wanajua kuzihudumia vyema
Yeah rafikido kumbe we msabato.ok
Eeh kumbe rafikiNa mimi najua tena vizuriiii mkuu
Usininyime hii riziki![]()

Aseeeeeeh kumbe wako vizuri sana?Ndio wakaka huwa wanatinda vizuri sana .... Napenda huduma zao si nyusi tu hadi nywele wanajua kuzihudumia vyema
Eeh kumbe rafiki
Sijawahi kujua hili







nimecheka nusu nipaliwe khaaah.