Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,758
😅😅 Prof Juma Kapuyanga mwalimu wenu alikuwa mmoja eeh 😎😎😎Usiwe na wasiwasi na Mimi Mkuu, sisi ni wale Wazee wachache tuliofundishwa maadili na hayati Mzee Nyerere tangu wakati ule wa Azimio la Arusha, kabla ya Maazimio ya Musoma na Dodoma 🤪🤪
Nimeona ni kama upo bonde la Usangu, vipi unalima huko? Karibu nikukodishie shamba la mpunga karibu na hao Waburushi 🚶🚶🚶
hapana sio usangu.. waburushi wakwe zangu nitawatuma uwaoneshe mzigo kwanza 😅😅






