Nuzulati
JF-Expert Member
- Nov 25, 2020
- 10,675
- 39,092
Naendelea vizuri mpendwa🙏🏽Unaendeleaje mpendwa?
Naendelea vizuri mpendwa🙏🏽Unaendeleaje mpendwa?
Kuonana kwenye niniKwanza huo ukungu sijui kama wanaonana![]()
Kuonana kwenye nini

Umepona

Bado ila naendelea vizuri.Umepona![]()
Pole mremboBado ila naendelea vizuri.
Ahsante.Pole mrembo
Naendelea vizuri mpendwa![]()
Bado ila naendelea vizuri.
Kama ni mbususu inawindwaWakiwa wanawinda![]()
Kama ni mbususu inawindwa
Aah mbona inaonekana vizuri tu
Halafu hiyo hali ya hewa inafaa sana
Kuzagamua


Huyu ukimpatia vizuri, kuamka kipengelee 😀😀😀 hasa kama chumba hakiingizi mwangaView attachment 2203843
Nitakuja na huyo mnyama ....
Huyu ukimpatia vizuri, kuamka kipengeleehasa kama chumba hakiingizi mwanga

unaweza kunikuta unalala siku mbili..🥸🥸 mambo yenu mazito nyie.. tusikuzane Shangazii.. natoka zangu huku sasa narudi kwenye jiji lenye joto aisee
Ngoja mjomba aje atuambie anawinda nini?
😅😅😅 Unaweza maana pia huku mvua karibia masaa yote, baridi ndio mwake ukungu wakati mwingine ukichachamaa hata mbele huoni.. kazi inakuwa moja tu kulala na kulaunaweza kunikuta unalala siku mbili..
Noma tupu baridi lake kama ni mala ya kwanza unaweza goma kushuka kwenye gari 😅😅😅😅Baridi la hapo inaonekana si la mchezo mchezo.
Sawa Mjukuu 🤪Nakuja babuu
wewe babuu una danger , nitakutegemea king'amuzi 😅😅Sawa Mjukuu 🤪
Usiwe na wasiwasi na Mimi Mkuu, sisi ni wale Wazee wachache tuliofundishwa maadili na hayati Mzee Nyerere tangu wakati ule wa Azimio la Arusha, kabla ya Maazimio ya Musoma na Dodoma 🤪🤪wewe babuu una danger , nitakutegemea king'amuzi 😅😅