Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hivi kuwa na mfadhaiko ndo stress ama lugha gongana??

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Stress nadhani ni msongo wa mawazo...mfadhaiko kuna kipindi walikuwa wanaitumia kumaanisha ile hali ya msisimko inayompata mwanaume anapogusana na mwanamke na kupiga bao papo kwa papo. Mf. Mtu anabanana tu na mwanamke kwenye daladala basi yeye huyoo anapiga bao....extreme and unusual sexual arousal....

Mfadhaiko nadhani pia yaweza kumaanisha kuvunjika moyo...ambayo inaweza kusababisha stress....
 
Stress nadhani ni msongo wa mawazo...mfadhaiko kuna kipindi walikuwa wanaitumia kumaanisha ile hali ya msisimko inayompata mwanaume anapogusana na mwanamke na kupiga bao papo kwa papo. Mf. Mtu anabanana tu na mwanamke kwenye daladala basi yeye huyoo anapiga bao....extreme and unusual sexual arousal....

Mfadhaiko nadhani pia yaweza kumaanisha kuvunjika moyo...ambayo inaweza kusababisha stress....
Alafu kunaile Hali ya wasiwasi kupitiliza hiyo pia inaweza kuwa tatizo ni kawaida tuu inaishaga yenyew??

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
🔥🔥
Strawbella karibu
C9987E60-7E5F-45CB-A469-763C41689866.jpeg
27CA2BDB-5BFD-4AC8-A702-86E4F515053C.jpeg
 
Alafu kunaile Hali ya wasiwasi kupitiliza hiyo pia inaweza kuwa tatizo ni kawaida tuu inaishaga yenyew??

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Anxiety....kama ni ya hali ya juu kabisa inabidi kutibiwa na wanasaikolojia. Kuna watu akipata Anxiety attack hawezi kufanya cho chote wengine wanaweza hata kuzimia.

Ni aina fulani ya mental disorder na kwa kawaida kunakuwa na trigger fulani inayosababisha. Wanasaikolojia na watu wa ushauri nasaha (therapists) watakuongoza hatua kwa hatua mpaka mgundue chanzo chake na wanaweza kuipunguza na hata kuitowesha kabisa...

Kama ni anxiety na hofu tu ya kawaida hiyo haina neno. Ni response tu ya mwili katika mazingira mbalimbali ila kama ni ile hali inakutokea huwezi kufanya cho chote, unatetemeka, moyo unakwenda kasi, kooni unakabwa, unaona mpaka maluweluwe, unatamani hata kutapika - na inakutokea mara kwa mara itabidi kupata msaada wa kitaalamu.
 
Anxiety....kama ni ya hali ya juu kabisa inabidi kutibiwa na wanasaikolojia. Kuna watu akipata Anxiety attack hawezi kufanya cho chote wengine wanaweza hata kuzimia.

Ni aina fulani ya mental disorder na kwa kawaida kunakuwa na trigger fulani inayosababisha. Wanasaikolojia na watu wa ushauri nasaha (therapists) watakuongoza hatua kwa hatua mpaka mgundue chanzo chake na wanaweza kuipunguza na hata kuitowesha kabisa...

Kama ni anxiety na hofu tu ya kawaida hiyo haina neno. Ni response tu ya mwili katika mazingira mbalimbali ila kama ni ile hali inakutokea huwezi kufanya cho chote, unatetemeka, moyo unakwenda kasi, kooni unakabwa, unaona mpaka maluweluwe, unatamani hata kutapika - na inakutokea mara kwa mara itabidi kupata msaada wa kitaalamu.
Asante kwa maelekezo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Anxiety....kama ni ya hali ya juu kabisa inabidi kutibiwa na wanasaikolojia. Kuna watu akipata Anxiety attack hawezi kufanya cho chote wengine wanaweza hata kuzimia.

Ni aina fulani ya mental disorder na kwa kawaida kunakuwa na trigger fulani inayosababisha. Wanasaikolojia na watu wa ushauri nasaha (therapists) watakuongoza hatua kwa hatua mpaka mgundue chanzo chake na wanaweza kuipunguza na hata kuitowesha kabisa...

Kama ni anxiety na hofu tu ya kawaida hiyo haina neno. Ni response tu ya mwili katika mazingira mbalimbali ila kama ni ile hali inakutokea huwezi kufanya cho chote, unatetemeka, moyo unakwenda kasi, kooni unakabwa, unaona mpaka maluweluwe, unatamani hata kutapika - na inakutokea mara kwa mara itabidi kupata msaada wa kitaalamu.
Matatizo ya Neva huweza kusababisha Hali ya wasiwasi?

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom