Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Screenshot_2022-04-28-00-50-58-135_com.instagram.android.jpg
 
Kama mwanadamu inatakiwa ifike wakati uachane na mambo yaliyopita... Mambo yaliyopita muda mwingine yanakosesha amani ya maisha unayokuwa nayo sasa..

Ifikirie sasa ..Ifikirie kesho ...Jana inafundisha lakini haitakiwi kukufunga ukawa mahala hapo hapo.

Usipoteze mwelekeo kwa sababu ya jana ..Jana ni Jana .. Leo ipe nafasi yake kwa kuanza upya ..ili kesho inapofika ikute una pa kuanzia.
Have a goodnight friends


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
Kama mwanadamu inatakiwa ifike wakati uachane na mambo yaliyopita... Mambo yaliyopita muda mwingine yanakosesha amani ya maisha unayokuwa nayo sasa..

Ifikirie sasa ..Ifikirie kesho ...Jana inafundisha lakini haitakiwi kukufunga ukawa mahala hapo hapo.

Usipoteze mwelekeo kwa sababu ya jana ..Jana ni Jana .. Leo ipe nafasi yake kwa kuanza upya ..ili kesho inapofika ikute una pa kuanzia.
Have a goodnight friends


Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Umeupiga mwingi Auntie wa Junia ❤️🙏
Allah akulinde,, usiku mwema pia
 
Na kweli

Maana ni kisu cha ukweli

Black current flan amazing

Shavu dodo

Mdomo wa kudeka

Ana macho meupee

Akiwa wangu

Hata sichelewi kurudi hom
Mkuu kwa hizi sifa eti sijabahatika kuona hiyo picha.....

Nimekosa mimi

Nimekosa mimi

Nimekosa mimi Jf(selfika ya Kelsea )

Mkuu hukuiiba hiyo picha na mimi nithuuze macho?
 
Back
Top Bottom