Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,299
- 9,797
🤣🤣🤣🤣🤣 ulijuta kupiga picha.Enzi za ujana nilikutana rafiki yangu nje ya Bank, si tukasema tupige picha kama ukumbusho wee tulikoma na kujuta![]()
Nilianza kupoteza hamu ya kula, nilikuwa naweza kula vipande vinne vya mkate naona nimetosha.
Kuna siku nilikula kuku hata paja sikumaliza na chips kidoogo.
Nikaona kuna shida mahala, nilifunga kama wiki 2 nikinywa maji tu usiku ndipo nakula, sasa hivi niwekee nusu ya wali namaliza.
Mwili umerudi kama zamani, naupiga mwingi sana.
Dagaa zilikuwa tamu kweli mpaka nikaongeza mboga
Ugali uongezeke mara mbili??




ulijuta kupiga picha.
Nikipiga picha sehemu kama hizi huwa najidai kutuma smshujui kama napiga picha.
Lakni kuna siku moja usiku nilipiga picha mahali kumbe flash iko on kudadeki![]()




Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Kwa nini?mimi natafuta kitu cha kukata hamu ya kula maana si kupenda huku vinono

Muhimu sana kujimotiveti mkuu hata kama ni ndoto za Alinacha



Balansidi dayati...



Kisa eti tu ufike namba 10. Hooovyo!Hapo broccoli,cauliflower,mishikaki miwili na viazi viwili am good....![]()







Kama unakula vizuri, unajisikia vizuri na unaonekana vizuri basi kweli unaupiga mwingi 👏🏾👏🏾👏🏾Nilianza kupoteza hamu ya kula, nilikuwa naweza kula vipande vinne vya mkate naona nimetosha.
Kuna siku nilikula kuku hata paja sikumaliza na chips kidoogo.
Nikaona kuna shida mahala, nilifunga kama wiki 2 nikinywa maji tu usiku ndipo nakula, sasa hivi niwekee nusu ya wali namaliza.
Mwili umerudi kama zamani, naupiga mwingi sana.
HahahahaNg'wagūkū nkoyi.....
Nzūgū PM dūyombe nkoi..
Seba Agūlang'hane nzunone...
Ūbebe bachimage guke....
Liyagamba litemi Lyang'waLūgiko![]()

Kisa eti tu ufike namba 10. Hooovyo!![]()


Shem darling chukua za kutosha

Swaumu Kali hatujaelewaNg'wagūkū nkoyi.....
Nzūgū PM dūyombe nkoi..
Seba Agūlang'hane nzunone...
Ūbebe bachimage guke....
Liyagamba litemi Lyang'waLūgiko![]()
😁😁 Upigwe mwingi sana.Kama unakula vizuri, unajisikia vizuri na unaonekana vizuri basi kweli unaupiga mwingi 👏🏾👏🏾👏🏾
1st time I'm using that kamsemo btw 😁😁
Mie nakula kidogo kwasababu nimeshazoea ila nilianza kwaajili ya kumaintain mwili. Mwenyewe natamani kufunga kama wiki mbili hivi ila kuna kauvivu flani hivi kamening'ang'ania 😟😟
Balansidi dayati...
Ukimalize sasa siyo uguse guse tu halafu ukiache kama ilivyo kawaida yenu high class. Hata kubeba kilichobaki hata kama hakijaguswa huwa hamtaki. Huwa nawamaindi sana yaani![]()
hizo ndiyo zimebaki kidogo.