Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 71,982
- 177,200
Ahaa hongera pia mkuu!Hakuna pesa ya maana mkuu, kote ni shida tu so long boss ni yule yule, tunatafuta nafuu tu. Niliamua kuhamia kwenye taaisisi.
Ahaa hongera pia mkuu!Hakuna pesa ya maana mkuu, kote ni shida tu so long boss ni yule yule, tunatafuta nafuu tu. Niliamua kuhamia kwenye taaisisi.
Ndio bia moja ni sawa umekula chapati kama 2 heavy.


wew muongo😊😊😊😍😍😍Guu la champagne ndio hili sasa..
Mashallah.
Vichura vyetu ni vidogo ndugu yangu we acha tuWannawake wa humu ni miguu tuu mara moja moja onesheni chura bana
Nakuambiaje achana soda hizo ni chemicals tupu, hizo ni rangi na sukari za viwandani, kunywa beer, hio ni ngano sawa na chapati.
Wapo wanaopenda vichura vidogo watatuma maombiVichura vyetu ni vidogo ndugu yangu we acha tu
Unaenda chota mihela eeh
Bia na popcorn 😂😂😂Nakuambiaje achana soda hizo ni chemicals tupu, hizo ni rangi na sukari za viwandani, kunywa beer, hio ni ngano sawa na chapati.
Halafu ukitoka agiza lite beer achana na hizi strong beer kama balimi na safari hizo huziwezi, muambie mhudumu nipatie serengeti lite ya baridi, ugali na nyama choma, utanishikuru baadae😋
Lite beer kama seŕengeti lite, castle lite au heineken hutojutia, unaweza andaa andaa snacks pembeni, ukipiga na popcorn utanishukuru baadae.
Bia na popcorn
Heineken na Desperados zidumu![]()


nimeshangaa Nakuambiaje achana soda hizo ni chemicals tupu, hizo ni rangi na sukari za viwandani, kunywa beer, hio ni ngano sawa na chapati.
Halafu ukitoka agiza lite beer achana na hizi strong beer kama balimi na safari hizo huziwezi, muambie mhudumu nipatie serengeti lite ya baridi, ugali na nyama choma, utanishikuru baadae
Lite beer kama seŕengeti lite, castle lite au heineken hutojutia, unaweza andaa andaa snacks pembeni, ukipiga na popcorn utanishukuru baadae.

mwalimu uko vzuri 

Bia na popcorn nomaBia na popcorn 😂😂😂
Heineken na Desperados zidumu 🔥🙌
Wanasemaga hivyo walevi… kisa zote ni ngano/ zimejaa wanga..bia si ina shayiri…mwalimu uko vzuri
Ila kuniambia bia sawa na chapati hapana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Mimi situmii, AhsanteBia na popcorn noma
Njoo basi, all bills on me
🤣🤣mwalimu uko vzuri
Ila kuniambia bia sawa na chapati hapana
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Afadhali nitunze na pesa yangu nitaenda kubeti.Mimi situmii, Ahsante
Karibu Moshi
😲😮Wanasemaga hivyo walevi… kisa zote ni ngano/ zimejaa wanga..bia si ina shayiri…
Ndio maana wana vitumbo ndiii